Hatutaweza hata siku moja kuendelea iwapo, viongozi ambao wanahitajika kufanya maamuzi yenye ufahamu, wanafoji elimu yao. Si haba sasa makosa mengi ya kimaadili na kiutendaji yanaonekana: hawana elimu sahihi, na bora, wanapewa madaraka makubwa yanayohitaji maamuzi mazito yabebwayo na ufahamu...