Recent content by Mteuliwa

  1. Mteuliwa

    UTT PID na mradi wa viwanja vya Tundwi songani-Kigamboni jijini Dar es Salaam

    Acheni unafiki. Nyoote munaotoa mawazo yenu humu ni waongo watupu. Taasisi ya UTT-PID ni wawazi. Pia milango yao ni wazi kwa watu wote na ipo chini ya Serikali sasa mambo ya umbea umbea tena watu wa kiume hayafai. Kama muna issue zenu binafsi naUTT-PID ni bora mukaweka wazi na sio kutunga uongo...
  2. Mteuliwa

    UTT PID na mradi wa viwanja vya Tundwi songani-Kigamboni jijini Dar es Salaam

    Acheni unafiki. Nyoote munaotoa mawazo yenu humu ni waongo watupu. Taasisi ya UTT-PID ni wawazi. Pia milango yao ni wazi kwa watu wote na ipo chini ya Serikali sasa mambo ya umbea umbea tena watu wa kiume hayafai. Kama muna issue zenu binafsi naUTT-PID ni bora mukaweka wazi na sio kutunga uongo...
  3. Mteuliwa

    UTT PID na mradi wa viwanja vya Tundwi songani-Kigamboni jijini Dar es Salaam

    Acheni unafiki. Nyoote munaotoa mawazo yenu humu ni waongo watupu. Taasisi ya UTT-PID ni wawazi. Pia milango yao ni wazi kwa watu wote na ipo chini ya Serikali sasa mambo ya umbea umbea tena watu wa kiume hayafai. Kama muna issue zenu binafsi naUTT-PID ni bora mukaweka wazi na sio kutunga uongo...
  4. Mteuliwa

    UTT PID na mradi wa viwanja vya Tundwi songani-Kigamboni jijini Dar es Salaam

    Acheni unafiki. Nyoote munaotoa mawazo yenu humu ni waongo watupu. Taasisi ya UTT-PID ni wawazi. Pia milango yao ni wazi kwa watu wote na ipo chini ya Serikali sasa mambo ya umbea umbea tena watu wa kiume hayafai. Kama muna issue zenu binafsi naUTT-PID ni bora mukaweka wazi na sio kutunga uongo...
  5. Mteuliwa

    UTT PID na mradi wa viwanja vya Tundwi songani-Kigamboni jijini Dar es Salaam

    Acheni unafiki. Nyoote munaotoa mawazo yenu humu ni waongo watupu. Taasisi ya UTT-PID ni wawazi. Pia milango yao ni wazi kwa watu wote na ipo chini ya Serikali sasa mambo ya umbea umbea tena watu wa kiume hayafai. Kama muna issue zenu binafsi naUTT-PID ni bora mukaweka wazi na sio kutunga uongo...
  6. Mteuliwa

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Wewe unasema Metl, Tutaamini vipi? unahakika gani Unatakiwa utumie akili na sio makalio. Acha fikra mgando. Unatueleza habari za Walinzi wanasema Metl sasa tuamini Mlinzi ama tuamini wewe? acha kukurupuka kama kichaa.
  7. Mteuliwa

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Mtoa mada acha kichaa. Kwani unapopewa taarifa na NIPASHE AMA MWANANCHI kwa nini usiulize wanakupa wao taarifa na sio Murtza Dewji? Kwani mtu anayekupa wewe taarifa zinazohusu chanzo cha muusika kwani huwa unajihojigi hivyo hivyo?
  8. Mteuliwa

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Kwani tatizo lipo wapi hapo?
  9. Mteuliwa

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Tanzania Commodities Trading inayomilikiwa na Murtaza Dewji. ndiyo mmiliki halali wa sukari.
  10. Mteuliwa

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    "Kiki" za Makonda mwisho lini?. Nadhani Rais Magufuli aangalie wakuu wa Mikoa anaowachagua kama hawa,,
  11. Mteuliwa

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Watu kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni wakurupukaji. Huwezi mtu ukawa tu unapewa taarifa bila kuzifanyia kazi kwa undani unaanza kubeba waandishi wa habari na kwenda kuvizia....Hii ni too much masifa khaa!
  12. Mteuliwa

    Tanzania Daima na habari ya Ridhwani na mkewe! Huu ni ukanjanja wa hali ya juu

    Kwanza elewa kuwa Mwandishi aliyeandila hiyo habari ameangalia vitu viwili ama vitatu: kwanza Ridhiwani alikuwa mtoto mkubwa wa Rais wa nchi na pili Ridhiwani ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa na wanaofanya sheria pia mkewe ni mwanasheria. SASA SUALA LA VITU KAMA VILIVYOELEZWA KUIBIWA NA...
  13. Mteuliwa

    Tanzania Daima na habari ya Ridhwani na mkewe! Huu ni ukanjanja wa hali ya juu

    Unakosoa wakati ujui unachokikosoa. acha kutumika ndugu. Kwanza elewa kuwa Mwandishi aliyeandila hiyo habari ameangalia vitu viwili ama vitatu: kwanza Ridhiwani alikuwa mtoto mkubwa wa Rais wa nchi na pili Ridhiwani ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa na wanaofanya sheria pia mkewe ni...
Back
Top Bottom