Mimi ni kada wa chama cha mapinduzi kwa zaidi ya miaka 18 sasa lakini kwa yanayoendelea sasa nimejikuta kukichukia sana chama changu.
Yanayonikera
1. Ukosefu wa ajira
2. Hali mbaya ya kiuchumi
3. Ufisadi
4. Utekaji wa wakosoaji ambao pia wengine ni ndg, jamaa na marafiki zetu
5. Vyombo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.