Recent content by mtengera4

  1. mtengera4

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    Haya ndio mambo ya Dunia hii katika utawala wa Wadunia wanaojipangia mambo yao ilimradi tu usawa, haki na amani vizingatiwe kwa wakati unaofaa hivy basi Lowasa kuhamia CDM ni usawa , haki amani .
  2. mtengera4

    Lema, Nasari na Sugu: Tutamng'oa Prof. Muhongo bungeni kinguvu

    hizo si fujo yaani kumshika mharifu na kumtoa bungeni ni fujo ww teja kweli
  3. mtengera4

    Lema, Nasari na Sugu: Tutamng'oa Prof. Muhongo bungeni kinguvu

    mtu ambaye ni shughuli pevu awe muhongo wa uchafu huo au mnatoa michango yenu mkiwa confused!
  4. mtengera4

    Nyumba ya Capt. John Komba iliyopo Dar es Salaam yapigwa Mnada

    shwetwani mkubwa huyu na afirisiwe tu eti anaujua sana msitu kwa kwa kwa holo tumbo ataweA?
  5. mtengera4

    Nyumba ya Capt. John Komba iliyopo Dar es Salaam yapigwa Mnada

    siyo hovo hii ni big issue Bank itajiendeshaje.
  6. mtengera4

    CHADEMA kupitia Marando, Mnyele & Co. advocates na Sakata la ESCROW

    Tuwetunasoma name na kufuatilia mambo si mnakwenda kama chekechea.
  7. mtengera4

    Halima Mdee aachiwa huru

    mdee ni jembe big up..
  8. mtengera4

    TAMWA, TGNP, LRHC wamucharukia professor Juma Kapuya

    Hawa wanaharakati wetu na police ni tatizo make wanafanyakazi kama wapitanjia wakutanapo na ajali sanasana wakikosa cha kupora huwa wananabaki kushangaa na kutoa hadithi za huyu kafanyahivi na vile so far hawa ndio chanzo cha matatizo nafikiri hizi hasasi chanzo chake ni maisha.
  9. mtengera4

    Jaji Tendwa: Nitaifuta CHADEMA lakini CCM siwezi...

    huyu dingi asubiri kuteseka huko tuendako!!
  10. mtengera4

    Ulinzi wa uhakika

    Pamoja nakuwa sijafika hapo ofisini kwao lakini inasemekana mikataba yao ni ya bei ya kawaida kufuatana na biashara yako .
  11. mtengera4

    Ulinzi wa uhakika

    Hapana mzee hili si tangazo ila nimevutiwa na hali ya usala hapa mtaani make vibaka wamedhibitiwa kwa hali ya juu kiasi kwamba yale matukio tuliyoyazoea kuyasikia hayapo na hili leo kila mwananchi hapa sanawari au ukupita kila kijiwe au kwenye makazi ya watu ni stori na hili limejitokeza leo...
  12. mtengera4

    Ulinzi wa uhakika

    Hapa mjini Arusha katika mtaa wa SANAWARI pamekuwa na hali ya usalama kwa muda mfululizo miaka mitatu sasa na hii inatokana na kuanzishwa kwa kampuni ya Ulinzi ya BLACK WHITE SECURITY ambayo makao yake makuu ni hapahapa Sanawari hivyo wananchi hasa wa wananchi wanaofanyabiashara pembezoni mwa...
Back
Top Bottom