Wingu la sintofahamu kuhusu kifo cha mfanyabiashara wa madini aliyedaiwa na polisi kujiua mkoani Geita (runzewe) baada ya ndugu wa marehemu kukataa kuuzika mwili wa marehemu mpaka uchunguzi (postmortem) ufanyike na hela zinazokadiriwa 300m alizokuwa nazo nyumbani kwake zilichukuliwa na polisi...
Hawa vijana wa chadema bure kabisa njaa zinawasumbua na jinsi tunavyoelekea 2015 wanajf mtaona maajabu,hela ccm tayari imesambaa kila mahali na aina ya vijana wa chadema ninaowajua ni w3achache sana wa kuweza kuhimili huu mziki wa ccm....tatizo hawa vijana hawakufanyiwa vetting kabla ya kupewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.