Recent content by mtebetini

  1. mtebetini

    Humphrey Polepole, ndugu zako wanasiasa wenye chuki na wewe pamoja na wataalamu wa Afya wanasema kuingiza dawa ambazo hazijasajiliwa nchini ni ndoto

    Mkuu Watu hatari sana! Tumekua tunapata msaada wa madaktari wa kujitolea kutoka Cuba for decade hakuna aliyehoji na wapo kwenye hospital za serikali performing excellent. Iweje dawa zao tunahoji.
  2. mtebetini

    Balozi Polepole kutoa namba yake binafsi ili atafutwe juu ya fursa ya matatibu Cuba ni sawa?

    Sijui wa Tanzania tumerogwa na nani! Upo sahihi sana mkuu,watu day in day out wanahangaika kutibiwa across the world with out sijui Wizara kuhusika, leo anatokea mwakilishi wa nchi kutimiza moja ya majukumu yake ili tuletewe dawa na wataalam wa kututibia kuja nchini imekua shida,kizazaa...
  3. mtebetini

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Yanaua kama hujapata tiba
  4. mtebetini

    Ni ajabu sana TANESCO wanapewa lawama na Rais anaachwa

    Umeme tatizo hili ni sugu lina zaidi ya miaka 48 na halijapata suluhisho toka kipindi cha utawala wa Mwl. Nyerere
  5. mtebetini

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Ubaguzi upo wapi kwani mpo nchi za ulaya
  6. mtebetini

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mbususu ya wapi chuga
  7. mtebetini

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mbayaaa kama mihogo ya jang'ombe
  8. mtebetini

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kitongaa ipo mkoani
  9. mtebetini

    UGANDA: Waziri wa Kazi apigwa Risasi na Mlinzi wake

    Aliyeuwawa sio Rutihinda Governor wa Benki kuu. Nicas Mahinda ndiyo aliuwawa,General Imran Kombe kwa kuongezea.
  10. mtebetini

    UGANDA: Waziri wa Kazi apigwa Risasi na Mlinzi wake

    Marehemu Dito kesi yake hakushinda ila alifariki wakati kesi haija anza kusikilizwa.
  11. mtebetini

    Ukiondoa Waziri Mkuu, anayefuata kwa kazi nzuri ni Waziri wa Kilimo Hussein Bashe

    Mwizi anawaibia wakulima anakamatwa kisha ana ambiwa arudishe pesa! What's next akitoka anarudi ofisini endelea na kazi! Tuache UCHAWA wa kitoto hapo mfumo ni ule ule. Vipo wapi vyombo vya usalama kudhibiti wizi huu! Hii sio kazi ya Waziri.
  12. mtebetini

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mama ndo anaujua uchungu wa mwana
  13. mtebetini

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mwehu ni kiswahili sahihi
Back
Top Bottom