Recent content by mtazamo mdogo

  1. mtazamo mdogo

    Ni kweli kabisa, kuna "wakubwa" ambao hawalitakii mema taifa hili

    Naona umeandika ivii kusudi uwe na maisha marefu huu uzi wako maana ungeandika moja kwa moja unachomaanisha ungekuwa ushaftwa apa saivi,,,, nishakuelewa....... Ila ndio ivooo akuna tena ishuu wamefanikiwa hao wakubwa kufanya mambo yao tusubir watanganyika waamue
  2. mtazamo mdogo

    UVCCM watoa onyo kwa waandamanaji. Wadai kusaidia Polisi kulinda amani

    Sasa nyie UVCCM yaaan munatoa matamko kama hayo inaonyesha jinsi gan saivi nchi imeshikwa na manyumbu... Nyie munasema ivo kama nan!? Sheria za kutuliza maandamano munazijua au nyie ndio munataka kukinukisha iyo Sikh ionekane watu tulikuwa tnavunja amani!? Yaan ***** nikikuotea iyo siku una...
  3. mtazamo mdogo

    Asante sana Kikwete kwa kutupatia Rais Magufuli, Watanzania tuna raha sana

    ''Nimewaletea chuma,'' hii kauli hata ukimuangalia alivyokuwa anaisema alikuwa anaisema tuu hana jinsi kwa vile mkapa ma mwinyi walipitisha jina la huyu baba jesca hata kikwete hakuwa na raha kabisa na hilo jina alijua jamaa hafai kabisa kuwa top wa nchi coz ananyege mkurupuko saaana
  4. mtazamo mdogo

    Ufunguzi wa tawi la CRDB Chato: Kimei asema vyuma vimelegea nchini, Magufuli aziomba benki zipunguze riba

    Unashangaa kufungua tawi tuu!!!!? Jamaa anamaindigi mpka kufungua saloon za kawida ili apate sehemu ya kuropoka ushithole wetu
  5. mtazamo mdogo

    Rais Magufuli: Ole wake atakayeandamana, kama kuna baba zao wanawatuma, watakwenda kuwasimulia vizuri

    Atachonga sana tuuu lakin hakuna asiyejua yeye ni mwoga kuliko mtu wowote yule apa tz sasa kazi anayo ya kusimamisha hayo maandamano hakuna hata mwenye mipango na hiyo mijikwara yake 26/4/2018 #Tanzaniarevolutionontheair
  6. mtazamo mdogo

    Mahusiano ya Tanzania na Marekani

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni ishara ya kuwa niko tyr kumkabidhi bandar zote jet Lee kama ilivoada maaana sina jinsi na siwezi kupata hiyo jinsi([emoji54])
  7. mtazamo mdogo

    Mbowe achia chama kwa vijana wakijenge la sivyo 2020 yatawakuta makubwa CHADEMA

    Mambuzi kama hawa thread zao ndio zinaishi miaka kama namba za vocha ila ni upupu tuuu hakuna kitu alichowaza apo
  8. mtazamo mdogo

    Evarist Chahali: Mambo mazito sana yanasemwa kuhusu usalama wa nchi lakini tunayapuuzia kwa ushabiki wa kisiasa

    Zero brain ingine [emoji137][emoji121][emoji121][emoji23][emoji23][emoji23] kina bashite kumbe Lumumba ziko nyingii saaana
  9. mtazamo mdogo

    Nawasihi vijana msijitoe muhanga. Vumilieni mbaki hai

    Kwan ukibaki hai wewe na wazee wako huko kwenu kuna nni!!!? Usituletee mambo ya ajabu wewe ningekuwanayo naniiiih ningekutundulisu wewe kaa na ujinga wako na familia yako[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
  10. mtazamo mdogo

    Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Abdul Nondo aliyekuwa anakosoa mwanafunzi Akwilina kuuawa na Polisi, hajulikani alipo

    Saivi aliko anchezea mabanzi ya kutosha,,,,!!!!! Akiachiwa uyooo utakuja kusema alikuwa anasubilia game ya juve na Tottenham iishe ajitokeze[emoji23][emoji23][emoji23] yaan inakera uku inachekesha huu upuuzi wao wanaotuletea kwenye nchi ya aman kama hii tuliyokaizoea,,, mbona tunarudishwa mwaka...
  11. mtazamo mdogo

    Magufuli ni wakala wa kuiangamiza Tanzania?

    Itakuwa umetukana wewe
Back
Top Bottom