Recent content by Mtate

  1. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa mwl aliyepo wilaya yoyote mkoa wa arusha (msingi) na anahitaji kwenda manispaa ya musoma anitafute tafadhali kuna mtu wa kubadilishana naye.0755549602
  2. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    ndg kama yupo mwalimu yeyoye wa msingi aliyepo halmashauri zifuatazo 1.Ngorongoro 2.arumeru 3.karatu 4.longido 5.monduli 6.Arusha jiji. Kama yupo anahitaji kwenda manispaa ya Musoma (musoma mjini) Tafadhali piga 0755549602. Asanteni sana.
  3. M

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    Matokeo Ubunge jimbo la Arusha Mjini Wapiga kura walioandikishwa 317,814 Waliopiga kura 105,800 sawa na 32.83% Kura halali 104,353 Kura zilizoharibika 1447. MATOKEO NAVOI MOLLEL ACT kura 342 sawa na 0.3%. PHILEMON OLAIS MOLLEL CCM kura 35,907 sawa na 34.4%. GODBLESS JONATHAN LEMA CHADEMA...
  4. M

    Treni ya umeme ya Ethiopia, kuanza kujengwa Kenya na Tanzania ?

    Wakati huko Ethiopia wanazindua treni ya mwendo kasi. Nchini Tanzania tunakimbizana na Mwenge wa Uhuru na kwa sasa upo wilayani Siha wanazindua choo cha shule. Hii ni aibu kubwa zaidi ya miaka 50 ya Uhuru bado tunazindua vyoo. Tukutane machinjioni October 25
  5. M

    WIKIPEDIA wamkaanga Edward Lowassa, sijui ataponea wapi huyu bana

    Kwan wewe una guarantee na Mwenyezi Mungu kwamba utaishi mpaka lini??? Tena usirudie hyo kufuru hyo kaitubu kanisani/msikitini mara moja kama wewe ni mtu wa Mungu
  6. M

    Vijana kwenye Maandamano ya kumsindikiza Lowassa walipora mali

    "Kundi la Vibaka Latikisa UKAWA" ni kichwa cha habari cha gazeti la uhuru ambalo linamilikiwa na CCM. kwa mandamano ya Lowassa ya kuchukua fomu ya urais kwenye tume ya uchaguzi CCM yageuka kuwa jeshi la polisi. Hii ni dharau kubwa hususani chama ambacho kinataka kipate ushindi wa Tsunam...
  7. M

    Pata mali mpya: KInanda (Pedal) kwa bei nafuu

    Bado hujachelewa! Jipatie Kinanda (Pedal) vya uhakika na bei nzuri guarantee yetu ni ya muda mrefu. Piga 0755549602: "qui bene cantat bis orati" St. Augustine.
  8. M

    Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

    Madiwani wa wa ccm halmashauri ya Meru wajiunga CHADEMA leo. Wamepokelewa na kukabidhiwa kadi na Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassari wilayani Aruneru leo. Madiwani hao na kata zao ni 1. Loth Nnko (kata ya Maji ya Chai) 2. Godfrey Kishongo Mbisse (Nkoaranga) 3. Abraham Kaaya...
  9. M

    Mkutano wa Baraza Kuu CHADEMA - Agosti 03, 2015

    Kuna rafiki yangu mmoja alitaka maoni yangu juu ya sintofahamu juu Dr. Slaa na ujio wa EL ndani ya CHADEMA.. Baada ya kusikia kauli ya m'kiti wa chama, Mr. Mbowe , nikaona nimjibu kama ifuatavyo: Wanasiasa huwa wanasema kuwa kwenye siasa hakuna kitu ambacho huwa kinatokea kama ajali au kwa...
  10. M

    Hongera Ben Saanane tuwe kitu kimoja tukijenge chama wakati upo tuombe uzima

    Mkuu wewe bado una udini haya sasa hakuna mzaliwa Wa Rombo Mwislam kaka au ulitaka atoke zanzibar akatie nia Rombo Tanzania kwanza udin hauna nafasi
  11. M

    Hongera Ben Saanane tuwe kitu kimoja tukijenge chama wakati upo tuombe uzima

    Kura za maoni jimboni Rombo zimekamilika huku mtia nia Na mwanajamvi wa huku JF akichukua nafasi ya tatu nampa hongera kwa kutumia haki yake kikatiba huu ni ukomavu wa demokrasia Matokeo yalikuwa hivi 1.Joseph Selasin 313 2.Masika Fratern 56 3.Bernard Saanane 26 4.Hugho Kimaryo 01...
  12. M

    Uongozi wa CHADEMA Taifa huu hapa

    1. Mwenyekiti: FREEMAN MBOWE 2. Makamu Mwenyekiti Bara: Profesa ABDALLAH SAFARI 3. Makamu Mwenyekiti Zanzibar: SAID ISSA MOHAMED 4. Katibu Mkuu: Dk WILBROD SLAA 5. Naibu Katibu Mkuu Bara: JOHN MNYIKA 6. Naibu Katibu Mkuu Bara: SALUM MWALIM 7. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee: HASHIM...
  13. M

    Asante mnyika huu ni uzalendo na wajibu uliotukuka

    Leo Juni 30 katika kikao cha Bunge niliomba bunge tujadili suala la dharura la uhaba wa upatikanaji wa mafuta au kile kinachoweza kutafsiriwa kama "mgomo wa wafanyabiashara wa mafuta". Hoja yangu haikufanikiwa kwa majibu ya Waziri kuwa wanafanyia kazi na kuhakikisha hali inakuwa shwari...
  14. M

    Maandamano makubwa kuanzia Jumatatu na kuhitimisha ofisini kwa mkuu wa Wilaya ya Rombo!

    thanks Ben tupo nyuma yako kamanda huyu Mwarusha hawez kutudhalilisha kias hiki
  15. M

    Serikali ya CCM Yashindwa Hoja na Halima Mdee

    Wewe kibaraka wa CCM aliyefanya kazi ni Mdee kama asingesema yote hayo nan angewakumbuka wananch wale CCM kama gari la mkaa haliwaki mpaka lishtuliwe likifika mliman lazima uweke gogo
Back
Top Bottom