Kweli sijui kitu kama hicho maana sijawahi kupata kazi harafu nisijuwe nitalipwa kiasi Gani, manaa Barua tu ya kuniita kazini itaeleza maslahi yangu yote😄😄😄
Kwani aliwafanya nini huyo mpuuzi. Mbona walishawahi kushambulia Kambi za majeshi ya Marekani huko Iraq na na huyohuyo Trump aliishia kubweka tu na hajawahi kulipa kisasi mpaka anatoma madarakani. Kidduku amemvimbia sana alikuwa anaishia kuongea tu mbona hakuwahi kumvamia
Wewe ndo mjinga toleo la kwanza kabisa. Kwa hiyo kwa sheria za kimataifa ni ruksa kufanya mauaji ya wageni walioingia nchini mwako kwa ajili ya kutafuta Maisha?
Habari wanajamvi.
Kama kichwa Cha habari kinavyotanabaisha. Nikiwa Kama mtanzania mpenda haki na ambaye nachukia ubaguzi wa rangi na mauaji ya watu wengine Tena wasiokuwa na hatia, ninafikiria kufungua kesi mahakama ya kimataifa dhidi ya Serikali ya Afrika Kusini kwa kuwa ama makusudi/...
Usiwe na harakaa mkuu. Walioko mstari wà mbele wameshatujuza kwamba hii operation itachukua muda hadi malengo yatimie. We endelea kuimba Takbir Takbir ila wanaume wako kazini
Nitamuoña mtu wa maana na Yuko siriazi Kama yeye na jeshi lake wataenda kuwasaidia hao watoto na wanawake wanaouawa bila hatia. Vinginevyo anabwatuka tu kwa sababu anajuwa kabisa vita huwa haianzishwi kwa matamko ya kijinga na ya wajinga wajinga kama hao. Yeye Kama anataka kujuwa huyo Israel au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.