Habari wanajukwaa.
Kama title inavyojieleza, naomba msaada kujua ni wapi hapa Dar es Salaam ninaweza kupata lenzi za taa za nyuma kwa gari aina ya Subaru Impreza ya mwaka 2012.
Kama kuna duka, fundi, au mtu yeyote anayefahamu sehemu sahihi, naomba anishauri.
Natanguliza shukrani. Naamini kupitia...
Unatakiwa uwe unawauliza wanakuambia ufanye hivyo kwa Sheria ipi ya Kodi? Watakujibu. Pia hiyo 10% ni zuia la Kodi IPO kwenye Sheria za Kodi. Tenga mda ukasome VAT Act na Income Tax Act
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.