Recent content by Mtarban

  1. M

    Mishahara na kazi za PCCB Tanzania zipoje kwa elimu ya form VI

    Kweli sijui kitu kama hicho maana sijawahi kupata kazi harafu nisijuwe nitalipwa kiasi Gani, manaa Barua tu ya kuniita kazini itaeleza maslahi yangu yote😄😄😄
  2. M

    Mishahara na kazi za PCCB Tanzania zipoje kwa elimu ya form VI

    Unapataje kazi harafu usijuwe mshahara ni kiasi Gani. Kwani Barua yako ya offer haijataja kiwango Cha mshahara
  3. M

    IDF wasambaratisha jengo Damascus na kuua maafisa wa kijeshi wa Iran

    Kanyaga twende maana hawa magaidi ya kiisilamu walituchelewesha sana
  4. M

    Donald Trump wins Iowa, anakuja!

    Kwani aliwafanya nini huyo mpuuzi. Mbona walishawahi kushambulia Kambi za majeshi ya Marekani huko Iraq na na huyohuyo Trump aliishia kubweka tu na hajawahi kulipa kisasi mpaka anatoma madarakani. Kidduku amemvimbia sana alikuwa anaishia kuongea tu mbona hakuwahi kumvamia
  5. M

    Nafikiria kuifungulia mashtaka Serikali ya African Kusini kwa mauaji na ubaguzi wa rangi uliokithiri kwa wageni

    Wewe ndo mjinga toleo la kwanza kabisa. Kwa hiyo kwa sheria za kimataifa ni ruksa kufanya mauaji ya wageni walioingia nchini mwako kwa ajili ya kutafuta Maisha?
  6. M

    Nafikiria kuifungulia mashtaka Serikali ya African Kusini kwa mauaji na ubaguzi wa rangi uliokithiri kwa wageni

    Habari wanajamvi. Kama kichwa Cha habari kinavyotanabaisha. Nikiwa Kama mtanzania mpenda haki na ambaye nachukia ubaguzi wa rangi na mauaji ya watu wengine Tena wasiokuwa na hatia, ninafikiria kufungua kesi mahakama ya kimataifa dhidi ya Serikali ya Afrika Kusini kwa kuwa ama makusudi/...
  7. M

    Israeli yaelekea kushindwa kuwamaliza na kuwateketeza kundi la Hamas kama walivyoahidi

    Haya ndo tunawpenda kuyasikia. Acha wabondane hata kwa miaka kumi mwisho wa siku mbabe atajulikana. Mimi na wewe tuagize Pepsi
  8. M

    Mwandishi aliyetoa habari za vifo vya wanajeshi wa IDF kauliwa na Mossad

    Huyo atakuwa ni gaidi na yeye. Unatoa taarifa za uongo uongo na kwa faida ya nani.
  9. M

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Profession: Educational Psychology Experience : 7 years (Having worked with various Organizations) Education level: Bachelor degree Location: Kigoma
  10. M

    General Salam: Kawambia US na Israel Kama nyie wanaume njooni piganeni na sisi sio watoto na wanawake

    Hapana hashindi maana anapigika kinouma. Inabidi tuanzee kusema Hamas stopping killing Israel people😝😝😝😝
  11. M

    General Salam: Kawambia US na Israel Kama nyie wanaume njooni piganeni na sisi sio watoto na wanawake

    Kwa hiyo kupost huu upuuzi unatuaminisha Israel imeshindwa vita😃😃😃😃😃😃
  12. M

    Israeli yaelekea kushindwa kuwamaliza na kuwateketeza kundi la Hamas kama walivyoahidi

    Usiwe na harakaa mkuu. Walioko mstari wà mbele wameshatujuza kwamba hii operation itachukua muda hadi malengo yatimie. We endelea kuimba Takbir Takbir ila wanaume wako kazini
  13. M

    General Salam: Kawambia US na Israel Kama nyie wanaume njooni piganeni na sisi sio watoto na wanawake

    Nitamuoña mtu wa maana na Yuko siriazi Kama yeye na jeshi lake wataenda kuwasaidia hao watoto na wanawake wanaouawa bila hatia. Vinginevyo anabwatuka tu kwa sababu anajuwa kabisa vita huwa haianzishwi kwa matamko ya kijinga na ya wajinga wajinga kama hao. Yeye Kama anataka kujuwa huyo Israel au...
  14. M

    Hezbollah yaapa kumlipia Kisasi Kamanda Saleh Al Arouri, yasema inaanzia pale Hamas ilipoishia!

    Harafu aliyepiga Yuko anapigika bila kujibu😃😃😃😃
Back
Top Bottom