Recent content by Mtarban

  1. M

    Natafuta Lenzi za Taa za Nyuma Subaru Impreza 2012 – Dar es Salaam

    Habari wanajukwaa. Kama title inavyojieleza, naomba msaada kujua ni wapi hapa Dar es Salaam ninaweza kupata lenzi za taa za nyuma kwa gari aina ya Subaru Impreza ya mwaka 2012. Kama kuna duka, fundi, au mtu yeyote anayefahamu sehemu sahihi, naomba anishauri. Natanguliza shukrani. Naamini kupitia...
  2. M

    Mshahara wa watumishi wa serikali mwezi huu August umetoka?

    Hapana Mimi siyo pot boss 😀😀😀
  3. M

    Mshahara wa watumishi wa serikali mwezi huu August umetoka?

    Mshahara ya serikali inategemea uko sehemu ipi serikalini na siyo lazima uingie siku moja. Wapo tuliolipwa tokea Jana
  4. M

    Watanzania acheni chuki kwa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) sheria za kodi hutungwa na bunge. TRA ni wasimamiaji tu

    Bunge likikataa hayo mapendekezo hayawezi kutekelezwa kwa namna yoyote
  5. M

    Watanzania acheni chuki kwa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) sheria za kodi hutungwa na bunge. TRA ni wasimamiaji tu

    Uko sahihi kuliko sisi kuelekeza lawama kwa watu ambao wanaletewa na wao kitu Cha kusimamia tu
  6. M

    Watanzania acheni chuki kwa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) sheria za kodi hutungwa na bunge. TRA ni wasimamiaji tu

    Unatakiwa uwe unawauliza wanakuambia ufanye hivyo kwa Sheria ipi ya Kodi? Watakujibu. Pia hiyo 10% ni zuia la Kodi IPO kwenye Sheria za Kodi. Tenga mda ukasome VAT Act na Income Tax Act
  7. M

    Watanzania acheni chuki kwa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) sheria za kodi hutungwa na bunge. TRA ni wasimamiaji tu

    Mwisho wa siku Bunge ndo linaamua Sheria ipite au isipite kama wakiona inafaa au haifai
  8. M

    Watanzania acheni chuki kwa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) sheria za kodi hutungwa na bunge. TRA ni wasimamiaji tu

    Sasa Hilo ni kosa la TRA? kwa Nini TRA alaumiwe kwa kusimamia Sheria zilizotungwa na bunge
Back
Top Bottom