Recent content by Mtarban

  1. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Endelea kuamini hivo. Mimi sifichi uovu boss
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Kama unakula Rushwa ukitajwa hatukuharibii Bali ni kuliokoa taifa dhidi ya watu wabadhirifu Chuki ili iweje. Yaani hicho kimshahara chake Cha kusuburi siku 30 ndo kisababishe niwe na chuki nae.. Mimi ni miongoni mwa wale wanaochukia Rushwa tu basi.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Haujakutana na kadhia hiyo. Wapi Wanakuomba wao wenyewe. Tena ndo wenyewe.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Unadhani anaponikandamiza kwenye biashara yangu na kuididimiza kupitia Rushwa za kijinga, umefikiria kwamba wanaonitegemea wataishije biashara yangu ikifa? All in All anapaswa kuzingatia maadili katika utendaji wake wa kazi hakuna atakayemuonea
  5. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Ninachoamini hata ukimtaja, TRA na Serikali kwa ujumla vina mamlaka za kiuchunguzi ambapo tuhuma isipothibitika kwa ushahidi, baada uchunguzi mtuhimiwa anabaki kuwa huru na anaendeleaj na kazi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Hawa maafisa wa kuzuia magendo ndo kirusi kingine. Badala ya kuzuia wanasaidia kuwezesha magendo kusafirishwa au kuingizwa nchini wakishavuta mpunga
  7. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Mengine ni ya kiofisi yako nje ya uwezo wangu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Hata Mimi nimemshitukia, ndo walewale ambao wanaumiza watu kila siku na Rushwa zao za kipuuzi
  9. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Inaumiza sana aise
  10. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Wewe ni Mmoja wao?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Ushahidi ninao na nilishaupeleka mamlaka husika na nilishaitwa kutoa udhshidi
  12. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Wadau, naomba uzoefu wenu kuhusu TRA. Nimeona niwashirikishe jambo ambalo nimekuwa nikikutana nalo katika shughuli zangu za biashara. Kuna baadhi ya watumishi wa TRA ambao, wakati wa kushughulikia masuala ya kikodi au ukaguzi, wamekuwa wakinipa hisia kwamba bila kutoa "Rushwa" au “kitu kidogo”...
Back
Top Bottom