AWAMU YA NNE CHANZO CHA KUIMARIKA SEKTA YA NISHATI, MADINI
Kuanzishwa mfumo wa ununuzi mafuta kwa wingi (BPS) katika biashara ya mafuta ya petroli nchini, kwa kiwango kikubwa kumerahisisha usimamiaji wa kodi na kupunguza vikwazo vya uagizaji mafuta.
Maeneo hayo yote mawili yamepelekea...
AWAMU YA NNE IMEINUA SEKTA YA NISHATI, MADINI
Kuanzishwa mfumo wa ununuzi mafuta kwa wingi (BPS) katika biashara ya mafuta ya petroli nchini, kwa kiwango kikubwa kumerahisisha usimamiaji wa kodi na kupunguza vikwazo vya uagizaji mafuta.
Maeneo hayo yote mawili yamepelekea kuimarisha ukusanyaji...
Soma hoja uelewe, halafu hayo ni majibu ya aliyedai Ngeleja alivyopokea pesa angeutangazia umma, akutangazie ww kama nani, una haki ya kumhoji mtumishi wa umma kwa sheria ipi, so habar ya kumhoji ww huna hiyo haki kabisa, yeye alijaza form yenye kumtaka kuonyesha mali zake kila mwisho wa mwaka...
Ngeleja ananunua ng'ombe ili iweje, wazee wameamua kumpelekea ninyi mnaropokwa sijui chama kifanyaje sijui ninii kiweje, Ngeleja ana upepo mzuri sana Tanzania watu wenye akili uchwara kama ninyi ndo atuwataki
You insane!! una uhakika hiyo pesa haikwenda jimboni, halafu kumbuka Ngeleja ni mtu wa watu mfano amefika jimboni wananchi wa kanisa fulani wakamualika kwenye harambee inabid achangie pesa ya kuchangia inatoka wapi? Ndo pesa kama hiZo 40millions ambazo alipewa na Ndg Rugemalira, sasa ukitaka...
Acha kuropoka, wee nani alikwambia kuna akaunti ya jimbo...then angeutangazia umma kulingana na sheria gani, sheria inadai watumishi wa umma wa subject mali zao na chochote walichopokea iwe msaada au zawadi kila mwisho wa mwaka, Ngeleja kapewa msaada wa kijimbo February 2014 na sakata la escrow...
Acha kutokwa mvuke, mtu akimtetea mtu it doesn't mean ana team yoyote, wewe ndo mwenye team sisi hatuna, we are only discussing issues...Ngeleja is just a perfect guy, sengerema people have witnessed that to the mass
That's a problem of arguing with fools, did u listen to what Ngeleja elaborated or ts just vaporization which is taking place in your mind...be educated never stand to criticize without giving out satisfactory reasons on your critique...Am not talking issues to arogants
SENGEREMA KWA WIVA, WAZEE WAPELEKA NG'OMBE KUMI KWA NGELEJA
Na mwandishi wetu,.
Wakati kukiwa na vuguvugu la harakati za kuelekea uchaguzi nchini Tanzania, leo asubuh na mapema wazee wa Sengerema wamempelekea mh.Ngeleja Ng'ombe kumi kama kifuta jasho cha mikasa ya kutengeneza aliyokutana nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.