Huna hata aibu kuja hapa kujitangazia kuwa wewe na mama yako hamna uungwana na mna tabia za wizi? Kama mnashida ni kwa nini hamumuombi shemegi yenu akusaidieni? Amemuona dada yenu kwa hivyo ameunga ukoo na nyie sasa ni kwa nini mnataka kumuibia? mlijaribu kumuomba msaada akakataa? mnata dada...
usijidanganye hakupendi huyo! Anachotaka ni kusex na wewe kavu kavu tu! Anachokitafuta ni kiwanda cha kuzalisha watoto tu! Kama mtu anakupenda issue ya uwezo wa kuzaa au akutozaa haijadiliwi. just look this way anakwambia anakupenda lakini siku akijua huwezi kuzaa atakuwacha! does that look like...
Sisitiza prenup. Hizi story za wanawake wengi za kutaka wachumba wao wawasomeshe zimekuwa nyingi sana sio tanzania tu bali sehemu nyingi za afrika na mara nyingi humalizikia kwa demu kumkimbia mchumba wake baada ya kumaliza masomo. Kuna mtu kwenye group fulani ame suggest kuwa wakati umefika kwa...
Kwani ndoa ni nini? Sikujua kuwa moja ya mafanikio ya maisha ni kuolewa. Wangapi wameolewa na hawana maisha ya amani na utulivu? Wengine wameachwa, waume zao wamewa cheat, wako walotelekezwa na watoto na kuna wale walioachwa na vilema shauri ya vipigo vya waume zao! Sipingi kuoa au kuolewa ila...
Wapi katika hiyo kanuni uliyoiweka hapo juu inasema kuwa ni kosa mtu kuweka kiasi fulani cha pesa nyumbani kwake? Watu tunauliza ni sheria gani gani inayokataza mtu kuwa na milioni kumi nyumbani kwake na sio kutoa pesa nyingi benki kwa mkupuo mmoja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.