Recent content by Mtanga90

  1. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Kwanini miji ya Mecca na Medina inalindwa na Marekani kufuatia vitisho vya Yemen na Iran?

    Alikuwa anawagombanisha saudia na iran hili apate tenda ya kuuza silaha na kujifanya anaweka ulinzi sasa hv nchi za saudia na iran zimepatana anahangaika tu.
  2. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

    Ukishambulia russia km ilikuwa kwa siku makombora 30 utaongezewa inakuwa makombora 100 kwa siku mpk ujute
  3. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Jeshi Sudan laelekea kushinda vita

    Ww unavyojua hili upindue nchi maeneo gani ya kuteka?au ww unataka kupindua nchi unaenda kuteka shule akili huna halafu unajifanya kuponda watu eti wavaa kobaz vita zozote za madaraka sehemu zinashambuliwa viwanja vya ndege na ikulu aliyopo rais
  4. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Urusi yapendekeza makao makuu ya UN yaondolewe Marekani na kuhamishiwa nchi nyingine

    Naona hauna uelewa wowote wa sheria zinazowalinda wanaoenda huko UN hata puttin akiamua kwenda UN usa hatakiwi kumzuia hata hao waandishi wa habari km wapo sehemu ya msafara wa waziri wa mambo ya nje hawapaswi kuzuiwa haijalishi wanaoingia una uhasama nao kiasi gn inimladi wanakuja kwa issue za...
  5. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Urusi yateka wilaya tatu Ukraine

    Sio sawa kuvamia nchi nyingine hila kwa usalama wa russia ilikuwa lazima avamiwe km usa alivyotaka kuivamia cuba alivyosikia ussr inataka kupeleka makombora kule cuba .
  6. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Ukraine kujiunga na NATO baada ya vita kumalizika

    Russia aiachie donbass? Zile ndio zishakwenda bro
  7. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Marekani iliunda kundi la kigaidi la ISIS (Daesh)

    Sasa huyo alieongea hvyo ni muislam mbona watu wa LGBTQ mnakuwa na akili za hovyo unaambiwa anaetoa matamshi hayo mgombea urais wa usa ww unaongea unachojua ww kuwa mbinu ya kujitetea wa islam au huyo kenedy nae muislam?punguza chuki zisizo na mpango
  8. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Iran kupokea ndege 60 hatari za Su-35 kutoka Urusi

    Aliekwambia msaada nani?huyo russia tu kamikaze za iran kanunua halafu yy akatoe msaada fighter jet 60 hapo ni biashara tu zamani alikuwa hawezi kumuuzia iran sababu alikuwa anajua israel atalaum hila kwakua israel anasaidia ukraine ndio maana nae kaamua kuuza kwa adui wa israel silaha
  9. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Sudan: Mapigano makali yaibuka Khartoum, uasi wa majeshi mawili makubwa

    Massage ya LGBTQ utaijua mfereji ukiwa unamuwasha haangalii mada inazungumzia nn yy ana comment chochote mpk akipata wa kumkuna ndio anatulia akili
  10. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa mpaka India na China; India yalalamika China kubadilisha majina ya maeneo mpakani

    Yaani unavunja mikataba uliyoingia na jirani unategemea ukianza kupgwa usaidiwe kulaani
  11. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Tel-Aviv: Ndege za kivita za Israel zavurumisha makombora kuelekea Ukanda wa Gaza na Kusini mwa nchi ya Lebanon

    Km yupo na maisha yake mazuri basi hujui anaezungumziwa nani nenda kakojoe ukalale siongei na watoto wa jana
  12. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Je Marekani, Israel wanajiandaa na vita dhidi ya Iran?

    Uzi ulikuwa mzuri mpka mlivyoanza ubishani wenu usiokuwa na mpango sijui mmekutana wote watu wa kigoma.
  13. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Drone za Ukraine zaanza kujongea Moscow, anga ya Urusi wazi bila ulinzi

    Hakuna air defence dunia itakayokuwa perfect 100% km umesikia jn huko israel mnayoisifia ina defence nzuri imezuia makombora lakini mengine yamepenya au usa ameweka ulizi wake saudi arabia lakini drone za houthi zimepenya kwahyo kusema drone zimeingia russia sioni cha ajabu.
  14. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Marekani, Ujerumani na Hungary zinapinga pendekezo la Ukraine la kuwa na "mpango" wa kujiunga na NATO

    Sasa Usa atumie nguvu ya nn kuchukua resources za tanzania wakati wanauwezo kuzipata bila vita makampuni kibao ya Usa wanaacha mashimo huko migodini nchi inaambulia asilimia ndogo ya faida mpk alipokuja jpm kajitahidi kupambana nayo lakini hajafikia mwisho mungu akamchukua hila mngekuwa wabishi...
  15. Mtanga90

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la bajeti ya kijeshi ya Marekani latishia amani duniani

    USA wana budget kubwa ya jeshi sababu wananunua vifaa vya kijeshi kutoka kampuni binafsi wanawauzia bei ya juu zaidi ya uhalisia tofauti na russia kampuni za vifaa vya kijeshi ni za serikali
Back
Top Bottom