Recent content by mtamamtete

  1. mtamamtete

    John Heche afika Moi kumjulia hali Mzee Bwege

    Wengine wanajifanya wataalamu wa afya. Huyu jamaa namfahamu. Si mtu wa vyombo kabisa. Kumuongelea hivi mgonjwa usiyemfahamu si jambo jema.
  2. mtamamtete

    John Heche afika Moi kumjulia hali Mzee Bwege

    Usimalize maneno, leo ni wangapi wenye afya zao wamefariki? Ajuaye mwisho wa binadamu ni Mola pekee.
  3. mtamamtete

    John Heche afika Moi kumjulia hali Mzee Bwege

    Ili tusiojua tujue.
  4. mtamamtete

    Wakili wa Jamhuri leo uso haukuwa na nuru

    Ya nini nawe ni walewale wa Kizimkazi.
  5. mtamamtete

    Mwalimu Nyerere aliposema Ikulu ni Mzigo alimaanisha nini?

    Sifikirii kwamba anamawazo napo, ila amesema ukweli wasioupenda watawala.
  6. mtamamtete

    PreGE2025 Sasa hakuna tena kikwazo cha Lissu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni suala la muda mfupi sana

    Waliomtia u kilema watamsujudia. Hata hawaogopi, mtu mliyetaka kumuua kwa risasi 16 Mungu kamponya sasa mnataka kumnyonga. Mlaaniwe.
  7. mtamamtete

    PreGE2025 Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

    Hakuna haja ya kuingia kwenye uchaguzi katika mazingira haya. No reform no election.
  8. mtamamtete

    PreGE2025 Jaji Warioba: Tusipochukua hatua, uchaguzi mkuu utakuwa kama huu wa Serikali za Mitaa

    Angesema haya katika baraza la usalama wa taifa wewe ungesikia maoni yake? Ametumia haki yake ya kikatiba kutoa ,aoni yake. Anayeyapuuza ni kati ya wale wanaojali njaa zao kuliko taifa. Ila mataifa mengi ya ki Africa yamejikuta yakiingia katika machafuko kwa kupuuzia sauti kama hizi. Watu...
  9. mtamamtete

    Nahisi Watu kupotea ovyo inatokana na Sababu 3 tu!

    Yule kiongozi anastahili kuchukuliwa hatua.
  10. mtamamtete

    CCM iwaambie Wananchi ilivipataje viwanja inavyovimiliki wakati haikuvijenga bali wananchi walichangishwa

    Chukueni pia shule zote zilizojengwa kabla ya mwaka huo.
  11. mtamamtete

    Tangu Dkt. Mwigulu aingie madarakani haya yametokea

    Unataka ushahidi? Muulize mkuu wa COVID-19 Halima Mdee akielezea kuhusu yale mabegi ya karatasi za kura ambazo zilikuwa zishapigwa.
  12. mtamamtete

    Rais Magufuli alitaka kuiua CHADEMA, lakini alishindwa! Hakuna wa kuinunua wala kuiua CHADEMA

    Sana, nilijipigilia enesi za kutosha nilipohakikisha jiwe kazima.
Back
Top Bottom