Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Ukweli usio na Mashaka Serikali imeomba kuidhinishiwa Pesa kwa Ajili ya Kukarabati Viwanja vya CCM
Najiuliza CCM ilivipata wapi hivyo VIWANJA?
CCM lini ilitangaza MKANDARASI wa kujenga hivyo VIWANJA?
Kwanini CCM itumie KODI za Wananchi wakati ina RUZUKU kubwa?
Ukweli ni Kwamba CCM haijawahi Kutafuta hivyo VIWANJA wala Kuvijenga VIWANJA vyote vimejengwa na Wananchi kwa Kushirikiana na Serikali chini ya WAKUU wa MIKOA na WILAYA
Mfano Viwanja vya NELSON MANDELA Sumbawanga mpaka MANESI na WAKIMBIZI wa KIHUTU walichangishwa Chini ya RC Tumainieli KIWELU
Uwanja wa SOKOINE na KIRUMBA Mwanza Watu walitoa Ngombe Mazao na Pesa leo iweje CCM bila AIBU iseme viwanja ni vyake na pia vikarabitiwe na Serikali ?
VIWANJA vilijengwa na Wananchi bila ITIKADI ya Chama hivyo VIRUDISHWE kwenye MAJIJI MAMISPAA MIJI na WILAYA ile view vya UMMA ni AIBU kwa CCM KUPORA VIWANJA VYA UMMA
Najiuliza CCM ilivipata wapi hivyo VIWANJA?
CCM lini ilitangaza MKANDARASI wa kujenga hivyo VIWANJA?
Kwanini CCM itumie KODI za Wananchi wakati ina RUZUKU kubwa?
Ukweli ni Kwamba CCM haijawahi Kutafuta hivyo VIWANJA wala Kuvijenga VIWANJA vyote vimejengwa na Wananchi kwa Kushirikiana na Serikali chini ya WAKUU wa MIKOA na WILAYA
Mfano Viwanja vya NELSON MANDELA Sumbawanga mpaka MANESI na WAKIMBIZI wa KIHUTU walichangishwa Chini ya RC Tumainieli KIWELU
Uwanja wa SOKOINE na KIRUMBA Mwanza Watu walitoa Ngombe Mazao na Pesa leo iweje CCM bila AIBU iseme viwanja ni vyake na pia vikarabitiwe na Serikali ?
VIWANJA vilijengwa na Wananchi bila ITIKADI ya Chama hivyo VIRUDISHWE kwenye MAJIJI MAMISPAA MIJI na WILAYA ile view vya UMMA ni AIBU kwa CCM KUPORA VIWANJA VYA UMMA