inaonekana TANU iliharibu nyota ya Kambona maana ukiangalia kwa makini mapendekezo yake, yalikuwa ya kimsingi na yangepewa nafasi huenda hivi leo tungekuwa tunajadili historia tofauti.
kwa nini nyerere na kawawa walipitisha azimio la Arusha bila mashauriano na hata bila piloting? Kambona alitaka swala hilo lifanyike kwa utaratibu na kimkakati!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.