Recent content by mtaliitz

  1. M

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    UKAWA majeshi majeshi, CCM ameanza kutetemeka na kusambaratika.
  2. M

    Waliofuatana na Lowassa CHADEMA

    na makufuli alikuwa na wadhamini wangapi? Acha unafiki, CCM mtakiona.
  3. M

    Godbless Lema: Tulimtukana Lowassa kwa sababu fikra zetu ziliibiwa

    hata mtusi lowassa mara elfu na moja, CCM jueni mmekwisha.....
  4. M

    Ukata wawafanya UKAWA kununulika kwa fedha za Ufisadi

    inashangaza hata mleta mada hajataja hizi kashfa zote!
  5. M

    Lowassa is 'Dead' Politically

    CCM cannot kill lowassa's and tanzanians dreams, watch out in oct. My vote 4 lowassa will dethrone chama cha mizengwe.
  6. M

    Hivi tulipgana kuondoa mkoloni ili iweje?

    ili wakoloni weusi watawale mafuvu meusi.
  7. M

    Hati ya Muungano: Nani ameaibika kati ya CCM, serikali na UKAWA?

    na kama ipo kwa nini haiwekwi wanachi? kama nyerere na karume walimix udongo wa tanganyika na zanzibar kwa uwazi, kwa nini hati iwe siri?
  8. M

    Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

    inaonekana TANU iliharibu nyota ya Kambona maana ukiangalia kwa makini mapendekezo yake, yalikuwa ya kimsingi na yangepewa nafasi huenda hivi leo tungekuwa tunajadili historia tofauti.
  9. M

    Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

    hivo Nyerere na Kawawa hawakutaka maoni mbadala! nadhani Kambona alichangia constructive criticism ambayo julius alikataa!
  10. M

    Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

    kuna baadhi ya wanahistoria wanadai Kambona angelikuwa rais bora kuliko Nyerere, walichukuliaje swala hili?
  11. M

    Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

    kwa nini nyerere na kawawa walipitisha azimio la Arusha bila mashauriano na hata bila piloting? Kambona alitaka swala hilo lifanyike kwa utaratibu na kimkakati!
Back
Top Bottom