"Mwenye heshima km havai hijabu" duh! mbn wanawake wenye maumbo makubwa hasa wa kiafrica wakivaa hijabu bado msala tu...mavaz hayo ni itamaduni wao tu hata sisi tungeeza kubuni nguo zetu za heshima kuliko kuendelea kuenz utamaduni wao tu
We nani alikwambia Hamas ni wajinga kiasi hicho eti waanzishe vita wakati hawana siraha...ww tu ngozi nyeusi usiejua hata asili yako kuanzia dini yako na kila kitu unacho fanya huwez kwenda shambani bila jembe sembuse hao waarabu wanaojitambua kuliko ww
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.