Recent content by Mtafutemtafute

  1. M

    Mwenye kuujua mziwaziwa

    Nimerudi tena Naombeni kujua kuhusu mti huu mziwaziwa unasaidia kweli kuconceive? I wish nipate ambaye alishawahi kuutumia . Na kwa Dar naupata wapi?
  2. M

    Msaada: Sijapata siku zangu nimepima sina mimba

    Nisaidieni [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
  3. M

    Msaada: Sijapata siku zangu nimepima sina mimba

    July nimeanza tar 14-18 August nimeanza leo[emoji24][emoji24] Pads navaaga 3/4 kwa siku Kiasi naona ni kawaida tu sio nyingi sio ndogo Damu tu nyekundu basi mwishoni unatoka uchafu wa brown
  4. M

    Msaada: Sijapata siku zangu nimepima sina mimba

    Mikao yote tunafanya pia anamwagia karibu zaidi
  5. M

    Msaada: Sijapata siku zangu nimepima sina mimba

    Inauma sana sana mwenzangu ye hata hajali
  6. M

    Msaada: Sijapata siku zangu nimepima sina mimba

    Doctors naombeni mnijibu[emoji24][emoji24][emoji24] I’m dying
  7. M

    Msaada: Sijapata siku zangu nimepima sina mimba

    Wasalaam jf Naombeni mnisaidie nini shida Nilianza period 14th July up to 18th July nikakutana na Baba chanja tar 21 na 26, period cycle ni 28 days. Hadi leo sijapata period nimepima mimba sina Na je Kuna uwezokano wa kutopata ujauzito wakati hauna tatizo lolote? Ute ute wa ovulation day...
Back
Top Bottom