Yale magari ya polisi waliyoleta kumbe yanaungua moto, kwhyo hakuna tabu tutakufa na polisi na jeshi na kila atakayetuzingua. Haturembi mwaka huu. Ccm wamezoea, yale matumbo lazima yafumuliwe. Wapuuzi wakubwa ccm.
This time tutapiga kura na kusubiri matokeo hapohapo kituoni, mita 200 away. Wahangaike weee na huo upuuzi wao wa kupendelea ccm, mwisho wao umefika. Tuko tayari kwa mapambano maana upole kwa kisingizio cha kutunza amani ndo umetufikisha hapa na umaskini huu!!!
No way, ccm must go out and die...
Magufuli mpumbavu tu, anadhani watu wa Kigamboni wanaweza rubuniwa tena mwaka huu!!? Kwa taarifa yake amefeli, watu wameshaamua kuchagua UKAWA. Full stop.
Jina tu la mleta mada linaonyesha jinsi alivyo kilaza kama anaemshabikia. Huwezi kuitwa 'jingalao' halafu eti uwe na akili timamu. kawajibu waliokutuma kwamba watu hawataki hata kuisikia ccm...punguani ww!
Mgombea wa ccm ndiye mgombea pekee muongo na tapeli kuliko wagombea wote. Aliudanganya umma wa watanzania kwamba angeshiriki mdahalo wa wagombea urais uliofanyika tar18Oct. Lowassa alikataa kushrki mdahalo kama alivyosisitiza mwanzo. Mgombea wa ccm ni mwongo na tapeli, aliingia mitini hata bila...
Kwa sasa mafisiemu hayana la kutwaambia, wameshafilisika. Wamefuja madaraka waliyolewa, wameshtuka kuona kumbe watanzania wengi wameelimika hawataki kutapeliwa tena. wanachoweza kufanya ccm kwa sasa ni kufungasha virago tu waanze maisha ambayo hawakuyazoea.
Kwani ww kansigo hao ccm wanakufaidisha nn!!? Ni wkt wa mabadiliko short n clear! Propaganda wapelekee waliokutuma, tumeshaamua kuchagua UKAWA tupate MABADILIKO.
Mdahalo unatusaidia nn watanzania hasa wakati huu...
Ilani na mikakati ya vyama tumeisikia na tunaendelea kusikia kwny kampeni. Mdahalo wnyw umeandaliwa na ccm kupitia TWAWEZESHWA...upuuzi mtupu. Na kama walitaka kumdhuru kupitia mdahalo wamechemka. Washiriki peke yao wafurahi. Hatahvyo mdahalo...
Weka japo kwa dots watu wataunganisha wnyw...hatahvyo hakuna siri chn ya jua. Kama imefahamika kwako, itafahamika na kwa wengine pia. It's just a matter of time!!!
Nimeipenda style ya HANGAISHA -----...magufuli ndo anausaka mpira kwa tochi. Mara anaamua kughairi kuutafuta mpira, anaamua kupiga push-ups na kucheza viduku....hatareee!!!!weka mbali na mafisiemu...
Ni mwaka wa MABADILIKO...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.