kiukweli sijafanya ivo(kuwafollow)ila ntajarbu kuchukua namba zao za sim nimewahi ziona wamezianika kwenye account zao nizilete hapa au nita kupm bila shaka.penye nia pana njia
mi sio super star ni national icon/am internationally known kama tyson fid q "jamaa ni msanii mzuri na anaeleweka na pia king kiukweli hakuna rapper asie mwelewa jamaa na ukitaka amini ilo angalia wakina makala ambao kwa hiphop yao AR wanafahamika kama wafalme wanamrespect japo asilimia kubwa...
anzeni kwenye mizizi mameneja lazima mtapata tabu mnaweza anza na majamaa wawili ambao chibu anawatambua kama ni mashabiki zake kuna (oscaniseth)kama sijakosea au jamaa mwingne anaitwa prince wako insta wale wanaweza wasogeza kwa team yenyewe kwa sababu wanatambulika na watawapa sapoti kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.