Vita ni mkakati... Unafikiri vita ni kutatalika kama mahindi anavyotatalika iran anapiga vivyohovyo.... Jiulize mabomu anayorusha yana impact gan yamemuua nani?.... Mzee usa ndo taifa lenye nguvu za jeshi za ziada hata Russia analijua hilo ndio maana unaona Russia, china wametuliza vipapa...
Hajasimamisha vita bali amesimamisha mashambulizi kwenye miundominu ya nishati....vita vinaendelea kama kawa sasa hiv naandika hii ndege za Israel zinatandika iran
Baada ya mawiki ya kutupiana maneno na maandalizi ya pande zote 3 hatimaye Leo mtanange umeanza rasmi.....
1. Tumeona mapema Iran ameanza kujibu na alisema ikiwa atashambuliwa basi asset zote za USA mashariki ya kati zitageuzwa target
2. Rais Donald Trump ameapa atausambalatisha utawala wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.