Recent content by MT255

  1. MT255

    JamiiForums Tanzania Nani Kashinda Vita ya Marekani (US) vs Iran? Vigezo vya Ushindi ni Vipi?

    Alafu Iran alivyo fala ameenda kwenye kikao na hiv tunavyoongea marekani ameifunga homuz....hiyo ndo super power
  2. MT255

    JamiiForums Tanzania Khamenei katika hali mbili tofauti

    Haya wenye dunia yao wameshasema ni marufuku meli yoyote kufika homuz kama iran kidume apeleke meli aone moto
  3. MT255

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kuiangamiza Iran usiku wa leo kama hawatofanya maamuzi ya Makubaliano kabla ya muda uliowekwa kuisha

    Iran msuli ushavuka huko Washakubali watafungua homuz...mamaeee
  4. MT255

    JamiiForums Tanzania Trump Alisema Iran Air Force Kaimaliza Kumbe Alikuwa Kwenye Ndoto

    Hiv unajua maana ya watu wanashambulia wanakokutaka na muda wowote.... Maana yake uwezo wako wa air defense umekufa ndio maana kila siku USA na Israel wanashinda kwenye anga la iran.... Maana yake iran sio tishio kwenye anga lake.... Iran anapigika haswa tena watu wanachagua wapige wapis😀...
  5. MT255

    JamiiForums Tanzania Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Vita ni mkakati... Unafikiri vita ni kutatalika kama mahindi anavyotatalika iran anapiga vivyohovyo.... Jiulize mabomu anayorusha yana impact gan yamemuua nani?.... Mzee usa ndo taifa lenye nguvu za jeshi za ziada hata Russia analijua hilo ndio maana unaona Russia, china wametuliza vipapa...
  6. MT255

    JamiiForums Tanzania Donald Trump atangaza kusimamisha vita na Iran kwa siku 5 kuanzia leo

    Habar za misikitini....
  7. MT255

    JamiiForums Tanzania Donald Trump atangaza kusimamisha vita na Iran kwa siku 5 kuanzia leo

    Hajasimamisha vita bali amesimamisha mashambulizi kwenye miundominu ya nishati....vita vinaendelea kama kawa sasa hiv naandika hii ndege za Israel zinatandika iran
  8. MT255

    JamiiForums Tanzania Iran wanachezea kichapo jamani loh!

    Wavaa Madera wanakuja kubisha🤣
  9. MT255

    JamiiForums Tanzania Mojtaba Khamenei atoa msimamo mkali kuhusu vita kwa njia ya maandishi

    Amka utajikojolea kumekucha....hizo ndoto
  10. MT255

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa Marekani hajaonyesha silaha yoyote mpya katika vita yake na Iran

    Mbona kama wavaa makobaz mmepanic🤣🤣
  11. MT255

    JamiiForums Tanzania Picha: Hali ya Telaviv ni mbaya

    Asante kwa taarifa...haya weka na picha za iran anavyofilimbwa na yeye tuone
  12. MT255

    JamiiForums Tanzania Yanayojili mgogoro wa Iran, Marekani na Israel

    Baada ya mawiki ya kutupiana maneno na maandalizi ya pande zote 3 hatimaye Leo mtanange umeanza rasmi..... 1. Tumeona mapema Iran ameanza kujibu na alisema ikiwa atashambuliwa basi asset zote za USA mashariki ya kati zitageuzwa target 2. Rais Donald Trump ameapa atausambalatisha utawala wa...
  13. MT255

    JamiiForums Tanzania Saud Arabia na Qatar Zimemruhusu Iran Apige Base Za USA Kwenye Ardhi zao

    Amka wewe utakojoa kumekucha
Back
Top Bottom