Sikia kijana mimi mke wa mtu huwa sidet nae kizembe lazima file lake liwe mezani kwangu toka alipo zaliwa usifikir ufala ulio nao wewe ndo kila mtu anao
Wakuu habari za jioni?
Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Asee mimi mwenyewe...
Hapa kwakweli hamna ushauri ila shida ni ipo kwako una features zote za umalaya hakuna mwanaume mwenye akili timamu ataweza kuweka ndani mwanamke kama wewe chriss yupo na mpango maalum tena namshauri ikiwezekana chriss apite mpaka na tigo
Mkuu lete 300k then nitakuchukua sample wewe na mwanao then nitakupa majibu kama ni wako au sio wako lakin sitakupa evidence yoyote majibu nitakupa kwa mdomo tu kama upo tayari
Nyie ndo wale washkaj ambao huwa mnasema au mnajifanya kuwa mwanamke hachungwi eti unajifanya kutofatilia mienendo na harakat za wife wako matokeo yake ndo hayo mzee lazima uletewe bao la mwanaume mwenzako ndani ya nyumba kula chuma hicho!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.