Recent content by Mswati II

  1. M

    Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

    Nimefanya iv kama funzo kwa wanaume ambao wanapambana wanavuja jasho ili familia zao ziishi vyema kumbe nyuma ya pazia ndo mambo kama haya
  2. M

    Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

    Sikia kijana mimi mke wa mtu huwa sidet nae kizembe lazima file lake liwe mezani kwangu toka alipo zaliwa usifikir ufala ulio nao wewe ndo kila mtu anao
  3. M

    Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

    Kwa upande wangu mimi kaka pisi zangu huwa zimenyooka sijui wenzangu
  4. M

    Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

    Sijakupata mkuu mimi sio mrisho mpoto
  5. M

    Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

    Nishapiga sana mkuu ndo siku nikafikiria kuwa nacho mfanyia mwamba sio fresh kabisa nikaamua kumkataa dem ila haelewi somo
  6. M

    Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

    Nataka tutambue sasa ni aina gani ya wanawake tulio nao kizazi cha leo chukua somo
  7. M

    Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

    Nataka tutambue sasa ni aina gani ya wanawake tulio nao kizazi cha leo chukua somo
  8. M

    Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

    Wakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo. Asee mimi mwenyewe...
  9. M

    Mtoto wangu ana baba wawili

    Kabisa mkuu
  10. M

    Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

    Hapa kwakweli hamna ushauri ila shida ni ipo kwako una features zote za umalaya hakuna mwanaume mwenye akili timamu ataweza kuweka ndani mwanamke kama wewe chriss yupo na mpango maalum tena namshauri ikiwezekana chriss apite mpaka na tigo
  11. M

    Mtoto wangu ana baba wawili

    Mkuu lete 300k then nitakuchukua sample wewe na mwanao then nitakupa majibu kama ni wako au sio wako lakin sitakupa evidence yoyote majibu nitakupa kwa mdomo tu kama upo tayari
  12. M

    Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

    Nyie ndo wale washkaj ambao huwa mnasema au mnajifanya kuwa mwanamke hachungwi eti unajifanya kutofatilia mienendo na harakat za wife wako matokeo yake ndo hayo mzee lazima uletewe bao la mwanaume mwenzako ndani ya nyumba kula chuma hicho!
  13. M

    Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

    Kabisa asee hawa madogo wa saiv sijui akili zao zimekuwaje
  14. M

    Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

    Kweli humu tupo na watoto asee!
Back
Top Bottom