Recent content by Mswati II

  1. M

    JamiiForums Tanzania Anadai anaunga watu mabando, mb ndo chanzo cha pesa nyingi alizonazo nina mashaka

    mzee ww unachukulia poa au anavyokwambia anaunga watu MB ukafikiri MB za hii mitandao local kuna madogo wataalam wanaunga watu unlimited internet kwa watu wenye simu zinazo support E sim usikalili maisha
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nilianza kujitambua kuwa ni mgonjwa wa akili tangu mwaka 2021(msongo)

    Bado hujaweka wazi ulikuwa unatumia madawa ya kulevya ndo tatizo likaja au limekuja ndo ukaanza kutumia madawa ya kulevya?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Upungufu wa nguvu za kiume umepelekea nikose hamu ye tendo la ndoa

    Pole sana mkuu sasa fanya iv Usipo pona njoo hapa kuniuliza, Chukua hii formula. Chukua ndizi mbivu moja, karoti mbili, parachichi moja, na Tikiti yale ya kienyeji achana na haya ya kisasa! Kula kwa pamoja Matunda haya Asubuhi na jioni kila siku kwa muda wa mwezi mmoja mfululizo ila tikiti...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka nikapime DNA na mtoto asie wangu akiwa na mama yake kupima ukweli wa majibu ya Mkemia Mkuu

    Kama ni sayansi na wao sio pekee yao wanaoweza kupima kwann waweke sheria wao tu ndo wawe na mamlaka ya kupima na kutoa majibu ya kipimo hiki?? Kwann isiwe na sehem zingine ziruhusiwe kupima ili mtu afanye comparison ya majibu?
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka nikapime DNA na mtoto asie wangu akiwa na mama yake kupima ukweli wa majibu ya Mkemia Mkuu

    Kabisa mkuu mission hii ukifanya na ikaleta majibu itasaidia sana watu kuielewa taasisi hii! kwasabab mpka sasa sioni maana ya kuweka sheria kwamba Taasisi hii pekee tu ndo yenye mamlaka ya kupima na kutoa majibu kuhusu issue za paternity kwann?? Kwanza hii test ingekuwa inafanywa Na Health care...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa sheria naomba msaada; Je, niendelee na hii kesi niliyoachiwa na marehemu mama yangu au niachane nayo? Ni kesi ya kiwanja kikubwa Dodoma

    Asante kwa ushauri! Mimi ndio msimamizi wa mirath nilie teuliwa kwa taratibu zote kabisa baada ya kikao kufanyika, pia mzee yupo lakin hawezi kuzungumza alipata ugonjwa wa kiharusi miaka 15 iliyopita,. Hata mimi na prefer zaid nikae nao mezani tuyamalize ila ikishindikana itabid twende mahakamani!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa sheria naomba msaada; Je, niendelee na hii kesi niliyoachiwa na marehemu mama yangu au niachane nayo? Ni kesi ya kiwanja kikubwa Dodoma

    Haikufika hatua ya kwenda mahakamani ilikuwa kwenye hatau ya majibishano ya kimaandishi baina ya mawakili wa pande mbili, pia msimamiz wa mirath ni mimi mwenyewe
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa sheria naomba msaada; Je, niendelee na hii kesi niliyoachiwa na marehemu mama yangu au niachane nayo? Ni kesi ya kiwanja kikubwa Dodoma

    Asante sana, mimi ndio msimamizi wa mirath bado sijafungua kesi ya mirath ndo nataka nianze hatua za awali
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

    Nichek PM nitakuelekeza mungu sahihi ni yupi achana na hizi dini zilizo letwa na majahazi!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

    Tatizo unamuabudi mungu asiye sahihi shida ndo inaanzia hapo ila ungekuwa unamuabudu Mungu alie sahihi alie kuleta hapa duniani wala usingelalamika hapa kama una akili Kb huwezi kunielewa!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa sheria naomba msaada; Je, niendelee na hii kesi niliyoachiwa na marehemu mama yangu au niachane nayo? Ni kesi ya kiwanja kikubwa Dodoma

    Nashukuru kwa ushauri mzuri kiongozi! Uwezo wa kumlipa wakili ninao lakin pia nataka nikae nao mezani kwanza kama tutaweza kuyamaliza mezani fresh wakigoma basi tutakutana mahakamani
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa sheria naomba msaada; Je, niendelee na hii kesi niliyoachiwa na marehemu mama yangu au niachane nayo? Ni kesi ya kiwanja kikubwa Dodoma

    Habari zenu manguli wa sheria? Naomba msaada mama yangu mzazi miaka 10 iliyopita alianzisha kesi kati yake na Taasisi moja kubwa sana ya kidini nchini! Taasisi hiyo iliuziwa kiwanja kikubwa sana na mzee wangu pasipo kumshirikisha bimkubwa nakati ni wana ndoa halali na eneo hilo walinunua...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Na aina hii ya utapeli huwa inafanya kazi kwa ufahasa kwa wanawake mpo weak sana kwenye ulimwengu wa kiroho pole sana walichukua akili yako kwa muda
  14. M

    JamiiForums Tanzania Depression inanimaliza, sina muda mrefu wa kuishi

    Smoke weed kula chakula unachokipenda shiba vizuri! Alafu kaa relax meditate utajiona umezaliwa upya na utaanza mambo yako upya kwa mikakati makini utakuja hapa kuleta ushuhuda
Back
Top Bottom