Mbona mmejaa chuki ivi, mnachuki, wivu, fitna na husda, yani kweli mtu roho inakuuma mpaka unaandaa thread kisa wivu tu, go get a life, jaribu na ww kuimba, afu y'all dont anything about hip hop, embu tafteni vitu vya kufanya, mbona vitu ni simple tu kama haumpendi fata maisha yako, unamfatilia...