Jitahidi sana kumsahau maana ukizidi kumpa nafasi akilini mwako huenda ukapata madhara makubwa na kuumia zaidi ya hapo ulipofikia.......... Pole xna ndugu maana inauma sanaaa
Duuuh yaan bora mliosoma mapema maana hii ni hatari. Jamani lakini ikumbukwe hata wao wamepita kwenye hatua hizo Sasa mbona wanaumiza wenzao kiasi hiki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.