Recent content by Msudu

  1. Msudu

    JamiiForums Tanzania Masikini wote, Mkishindwa Sana zaeni mtoto mmoja Huku mkiangalia uchumi wenu..Mnakera Sana

    Kuna muda natamani sana katika uzao wa Baba na mama yangu tungezaliwa wengi. Pumzika kwa Amani Baba, mama na Dada yangu
  2. Msudu

    JamiiForums Tanzania Machawa wamechanganyikiwa baada ya IGP, CDF na DCI kupewa amri ya kwenda kutoa ushahidi

    Njia rahisi ya kuwaokoa ni refa kumaliza mechi kabla ya dakika 90
  3. Msudu

    JamiiForums Tanzania Poleni jeshi la polisi kwa msiba huu mzito

    Nafahamu Nje ya kazi yake no baba wa familia, na mume wa mtu Ila Amiri jeshi Mkuu wao alisema Kifo ni Kifo tu. So, tuishi humo.
  4. Msudu

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Rafa anamaliza hii mechi kabla ya dakika 90.
  5. Msudu

    JamiiForums Tanzania Waliokufa wamekwenda wapi??

    Hakika katika hili una hoja,
  6. Msudu

    JamiiForums Tanzania Waliokufa wamekwenda wapi??

    Jibu sahihi utalipata siku ukifa.
  7. Msudu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Kifo ni kifo tu
  8. Msudu

    JamiiForums Tanzania Kwamba mungu amepiga OFU TAGETI?

    Israel leo kawa kama Dumbia bado kidogo tu iwe on target ha ha ha
  9. Msudu

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kwamba kukaa mbali na dini ni kukaa mbali na Mungu?

    Watu kwa maslahi yao binafsi
  10. Msudu

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kwamba kukaa mbali na dini ni kukaa mbali na Mungu?

    MUNGU NA DINI NI VITU VIWILI TOFAUTI. wenye Dini wengi hawana MUNGU
  11. Msudu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Huo moyo wa kuhisi uchungu anao basi?
  12. Msudu

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ianzishe shirika la ndege kuchochea Utalii!

    Wakitaka waanziehe hata Sarafu/hela yao
  13. Msudu

    JamiiForums Tanzania Leo imetimia Miaka 9 tangu Tundu Lissu apigwe risasi 16

    Msiba wa nani tena wakuu?
Back
Top Bottom