Recent content by Msudu

  1. Msudu

    JamiiForums Tanzania Maofisa wa vyombo vya ulinzi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.

    Bwana Jela
  2. Msudu

    JamiiForums Tanzania Ni kipaji gani ambacho unadhani kama ungepewa sapoti ungefika mbali?

    Ningezaliwa Dunia ya kwanza aisee ningekuwa bonge la sniper
  3. Msudu

    JamiiForums Tanzania Utajiri unapatikana kwa maombi au kufanya KAZI?

    Lazima ufanye kazi kwa Bidii na Maarifa
  4. Msudu

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: Angalizo: wajibu wa Jeshi la Polisi kwa Wananchi na WAJIBU wa Askari Magereza kwa Wafungwa

    Ngoja kwanza nikapate mbege bohora Moja akili ikae sswa
  5. Msudu

    JamiiForums Tanzania Wahudumu wa Afya wapewa Baiskeli 279 ziwasaidie kuboresha huduma

    Sawa
  6. Msudu

    JamiiForums Tanzania Kuna maisha baada ya kifo au tukifa ndio mwisho wa kila kitu

    Jibu kamili na sahihi utalipata siku ukifa. Haya mengine ni nadharia tu hakuna aliyeenda akarudi.
  7. Msudu

    JamiiForums Tanzania LATRA- Wanafunzi na Wakazi Changanyikeni waomba Daladala!

    Naunga mkono hoja..
  8. Msudu

    JamiiForums Tanzania KERO Gari yangu inadaiwa faini ya Polisi, inaonesha ilitozwa Mlandizi wakati sijawahi kufika huko

    Kwa kuwa mlandizi ni sehemu ya Jamhuri ya Tanganyika wewe lipa tu Mkuu huo ni uzalendo... Utani lkn
  9. Msudu

    JamiiForums Tanzania England vs Argentina 22:00 Unadhani nani atatoka na ushindi..?

    Mpira una matokeo ya kikatili sana Ila natamani sana Mess ashinde
  10. Msudu

    JamiiForums Tanzania Ni lazima kuna muunganiko kati ya maofisa wa kampuni na matapeli!...

    Kuns ukweli katika hili, jana chupu chupu nilizwe kwa style hii
  11. Msudu

    JamiiForums Tanzania Balozi Sefue: Maandamano halali yana masharti, watu wanasema Polisi wameua watu lakini polisi hawakuamka tu wakaamua kuua

    Uzuri ni kwamba wote wanakiri kuwa serikali kupitia majeshi yake waliuwa Watanganyika
  12. Msudu

    JamiiForums Tanzania Samia: Vijana wanamezeshwa sumu kuchukia Serikali

    Sio rahisi jirani yangu kuwaambia wanangu kuwa mimi ni mbaya nao wakaamini kama hawajawahu kuona ubaya ndani yangu.
  13. Msudu

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

    Chai jaba daaaaah kitambo sana wakati huo nilikuwa nauza dukani kwa mtu Sinza maeneo ya lion hotel kama sikosei ilikuwa mwaka 2001.
  14. Msudu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna wanaojiita wanaharakati lakini kiuhalisia matendo yao ni ya kigaidi

    Gaidi ni yule aliyesema hadharini kuwa Ana kundi la chui weusi Gaidi ni yule anayeteka na kuuwa watanganyika mwenzetu huku vyombo vya usalama vikiwa kimyaaa.
Back
Top Bottom