Recent content by Msudu

  1. Msudu

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi Ya Basi Msamvu Morogoro inalipisha pesa ya kuingia hata kama una tiketi

    Killa mmoja atakula kwa Urefu wa kamba yake
  2. Msudu

    JamiiForums Tanzania Mama Samia bado anafikiri Gen Z ndiyo tatizo! Anasingizia utamaduni ! Je ni utamaduni upi huo?

    Tatizo anahisi kuwa Gen Z ni vijana wa chadema.
  3. Msudu

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya Kuvuka Barabara ya Morogoro Nyakati za Asubuhi na Jioni. Madereva hawaheshimu alama za Pundamilia

    Kidogo waniwahishe Ahera madukani juzi katika zebra za kimara suka..
  4. Msudu

    JamiiForums Tanzania Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    Sisi kama Taifa tuko mahali pabaya mno bila kujali vyama vyetu hakuna aliye salama.
  5. Msudu

    JamiiForums Tanzania Wazazi tubadilike, tuache kuwapa watoto majina ya kizamani. Kuna majina yamepitwa na wakati

    Nilikutana na mtoto wa miaka sita anaitwa ZEBEDAYO yaani jina refu na kongwe kuliko yeye.
  6. Msudu

    JamiiForums Tanzania Suala la Lissu kunyimwa chakula na Magereza limegusa na kuumiza wengi

    Kama waliweza kuamuru watu hai/majeruhi wapelekwe mochwari ndo watashindwa kumyima lisu chakula? Inaumiza sana
  7. Msudu

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi ni genge la Wahuni? Kukaa na mtu bila taarifa rasmi ni Utekaji

    Wanufaika na mfumo huo hawako tayari kwa mabadiliko yoyote.
  8. Msudu

    JamiiForums Tanzania Tumeona 2008 Waziri Mkuu akijiuzulu, je inaweza tokea Makamu wa Rais Tanzania akajiuzulu?

    Wengi wanaogopa kujiuzulu is wakiogopa maisha baada, ya tukio hilo maana wasiojulikana hukaa karibu Nao.
  9. Msudu

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuhama Catholic

    Utakuwa sio kwanza wala wa mwisho kuhama Ila Kabisa litabaki kuwa Imara.
  10. Msudu

    JamiiForums Tanzania Mvua siku 3 tu hiyo SGR yetu imesombwa na maji

    Hii Mvua imeletwa na Mabeberu wanatuonea wivu sana
  11. Msudu

    JamiiForums Tanzania Mdau una zawadi ya kufungua leo au kuna mchongo unauskilizia?

    Mambo yasiwe mengi wewe fungua hata Dirisha tu ha ha ha
  12. Msudu

    JamiiForums Tanzania Profesor Janabi asisitiza kuzingatia ulaji sahihi kipindi cha sikukuu, hasa kuepuka pilau na nyama

    Ngoja niagize matembele na tikitiki maji chap
Back
Top Bottom