Kupata kilo moja ya samaki inatumia kilo moja ya chakula,on average kilo moja ya chakula ni 3600 per kg Kwa chakula imported,kuna gharama za vifaranga bei ni 150-300tshs Kwa kimoja,ongeza gharama zako zingine binafsi usafiri,kusafisha vifaranga,kusafisha chakula,kijana WA kulisha,etc... profit...
Mi nachangia kidogo hapo kwenye point ya Pili.Ulishaji WA chakula Chenye hormone unafanyika wiki ya pili baada ya vifaranga kuanguliwa,nadhani tuna assume mpaka muda wa kuvuna samaki miezi kadhaa mbele effect hazitakwepo.
Ila njia hii imeshakua ya kizamani Kwa vile haina uhakika,haibadilishi...
Nyanya ya masika ni ya Moto ,inabidi utarget kuivuna wakati masika inataka kuanza,au upande katikati ya masika ili wakati inatoa maua mvua ziwe za mwisho mwisho,na wakati wa matunda ziwe zimeshakata,....ila mvua ikikutaa ndo nyanya imezaa hesabu maumivi....mbegu kama imara na kipato , midogo...
Ndio udongo WA kuotesha tunanunua,mfano unanunua nyanya gran 25 ,Kwa 360,000 na udongo 100,000.ni gharama nafuu kuliko kutumia mbegu zaidi ya gramu 60.kwa kumwaga chini
Kabla hujataka kuingia kwenye kilimo hichi lazima uwe na uhakika WA maji ya kumwagilia(hela ipo kipindi cha ukame),Je Una kisima ama mto usiokauka?budget iliyokamilika ya mbegu,dawa na mbolea,chakula cha wafanyakazi Kwa miezi 4....cha Kwanza ingia YouTube,jifunze jinsi ya kusia mbegu,na kuna...
Sisemi kama jamaa ni muongo,au labda Kwa vile mgeni mbinu zake za uoteshaji mivhe ni hafifu.Mimi nalima nyanya Kwa miaka mitatu sasa,nikiotesha miche kwenye gram 25 ya nyanya dhahabu au imara napata miche elfu Tisa(9000) kwenye ekari moja unaingia miche haizidi 7000,kama kuna miche kufa au...
hizo filter za kuondoa magadi na chumvi chumvi zinaitwaje mkuu ?Na je kama shida yangu ni chmvi tu naweza kufunga hiyo filter moja?Google inanichanganya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.