Pole sana, kwa mawazo yako yautofauti bila sababu ya msingi,, umeeleza kwamba wazazi walikulea vizuri ni kwa upendo wa dhati,, ni pamoja na hilo, tatizo hawakuelewa side effects,, so hawakufanya Makusudi,, umekosea kuwalaumu,, ni sawa na kulaumu kazaliwa KE kwa wazazi wako,, unauhakika gani...