Habari za muda huu?
Nina miaka 19 ni kijana wa kiume nina leseni ya udereva daraja D, nina cheti cha Veta pamoja na cheti cha form four.
Ninaishi mkoa wa Kigoma wilaya ya Kigoma mjini, ninatafuta kazi ya udereva iwe, kwa watu binafsi, mashirika, makampuni, taasisi n.k.
Kwa yeyote mwenye...