Recent content by Msorokoto

  1. M

    Natafuta kazi ya udereva

    Habari za muda huu? Nina miaka 19 ni kijana wa kiume nina leseni ya udereva daraja D, nina cheti cha Veta pamoja na cheti cha form four. Ninaishi mkoa wa Kigoma wilaya ya Kigoma mjini, ninatafuta kazi ya udereva iwe, kwa watu binafsi, mashirika, makampuni, taasisi n.k. Kwa yeyote mwenye...
  2. M

    Kwa wasifu huu naweza kupata nafasi ya kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama?

    Asante sana kwa ushauri wako ndugu yangu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  3. M

    Kwa wasifu huu naweza kupata nafasi ya kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama?

    Kwakweli ndugu yangu tangu utotoni ninapenda kufanya kazi kwenye vyombo vya ulinzi na usalama... Kwahiyo hata kama ningefika chuo kikuu bado mapenzi yangu yangekuwa kwenye hizo kazi.
  4. M

    Kwa wasifu huu naweza kupata nafasi ya kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama?

    Chizi anachekesha akiwa hatokei kwenu. Chakula cha msibani ni kizuri kama msiba sio wa kwenu, unapoona mtu kaomba ushauri jaribu kutumia maneno yenye hekima ndani yake bro nakama hauwezi wewe pita wala usiongee lolote. Kufeli form four sio kufeli maisha nakufaulu form four sio kufaulu maisha...
  5. M

    Kwa wasifu huu naweza kupata nafasi ya kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama?

    Sio mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. M

    Kwa wasifu huu naweza kupata nafasi ya kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama?

    Asante kwa ushauri wako [emoji120] [emoji120] [emoji120]
  7. M

    Kwa wasifu huu naweza kupata nafasi ya kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama?

    Asante kwa ushauri wako ndugu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  8. M

    Kwa wasifu huu naweza kupata nafasi ya kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama?

    Maswala ya kuwaza kuwa kule ndio kuna watu wa aina hiyo hayo ni mawazo yako ndugu. Nilichoomba ni ushauri tu nasio kuanza kutafsiri kwa maana zako binafsi ambazo zinakuwa kama zinawashusha watu thamani yao.... Hata hivyo asante kwa ushauri wako [emoji120][emoji120]
Back
Top Bottom