Recent content by msonobali

  1. msonobali

    Tuhuma za wanaharakati wa CHADEMA kupewa pesa na viongozi wa CCM zinaenda kukizamisha chama, Martin Maranja atajwa

    Kuwapigania watu wasiojitambua inachosha, acha wafanye maisha yao
  2. msonobali

    Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Haya ma ccm yanataka kutunyia umafia mpaka huku Yaani simu ni anasa?
  3. msonobali

    Ally Hapi: Rais Samia amefanya super sub, wale jamaa wasitegemee huruma

    Haka kajamaa kangeachwa kaendelee kuuza pilipili. Kalikua kanatia huruma sana
  4. msonobali

    Tunarudi enzi za Ben Mkapa. Nawaona CHADEMA wakinyong'onyea kama CUF!

    uliza wanaopanga ziara za mama ulaya kwanini rostam hakosekani kwenye msafara
  5. msonobali

    TTCL inadai Tsh Bilioni 21 ila haijui inayemdai

    We amin tu mbona tumeamini mgao wa umeme unatokana na maji kujaa kwenye Bwawa
  6. msonobali

    Hii nchi kila kona fremu

    We Achana na tabia za kichawi hizi
  7. msonobali

    Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

    Hivi lini tutajitambua? Kwani msaada lazima uupokee, kwanini wasituletee msaada wa technology ya kilimo cha umwagiliaji kama kweli wanatupenda?
  8. msonobali

    Pendekezo: Badala ya Serikali kutoa elimu bure, fedha hizo zielekezwe kwenye matibabu bure kwa wote

    Kwa khali hiyo ndo elimu bure je ikiwa ya kulipia? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. msonobali

    Zitto Kabwe kimsingi ACT ndiyo itakufa zaidi kwa wewe kuondoka

    Na Tanzania sio ccm Sent using Jamii Forums mobile app
  10. msonobali

    Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM

    Akikujibu muulize kwanini amerudi kwa kupitia dirishani? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom