Recent content by msonobali

  1. msonobali

    JamiiForums Tanzania Anachosema Lissu ni kwamba, Bunge lisivunjwe mwezi wa sita, Rais na Wabunge waendelee hadi Reforms zikamilishwe, ndio uchaguzi mkuu ufanyike

    Ni kweli CCM ni watu hatari Sana linapokuja suala la kubaki madarakani
  2. msonobali

    JamiiForums Tanzania Edgar Mwakalebela (Sativa) atangaza mwisho wa CHADEMA

    Huna ubavu wa kuacha siasa, utaugulia kushindwa then utakunja ngumi tena
  3. msonobali

    JamiiForums Tanzania Mbowe aliiweka Chadema rehani kwa Samia. Sisi tulimuuliza kwani kuna shida gani mzee? Mbona uwezo tunao huku ukituweka rehani?

    Huo uwezo mbona hatujauona kwenye uchavuzi wa serikali za mitaa?
  4. msonobali

    JamiiForums Tanzania Wenje ana kazi maalum CHADEMA

    Tulia wewe watu wamekwepa sheria ya mtandao, ukiwashtaki wanampeleka Abdul michano
  5. msonobali

    JamiiForums Tanzania Nimenunua pikipiki sijui kuendesha vip hawa vijana hawatanipiga hesabu za siku?

    Lazima upigwe tu vinginevyo endesha mwenyewe na wateja huna
  6. msonobali

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuna siri ipi iliyojificha kuwa mgombea Urais kupitia vyama vya upinzani Tanzania?

    Ni kweli mkuu tena wawe wavumilivu hata wakigundua ufisadi mkubwa wa Mali za umma
  7. msonobali

    JamiiForums Tanzania Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Angejua angekaa kimya tumsahau kwa alichotufanyia
  8. msonobali

    JamiiForums Tanzania CCM wako busy kuhangaika na shida za wananchi wa Rufiji halafu Chadema na ACT mnaenda kupiga picha na kulialia

    Ulitaka nani ahangaike wakati wao ndo wametengeza tatizo
  9. msonobali

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za wanaharakati wa CHADEMA kupewa pesa na viongozi wa CCM zinaenda kukizamisha chama, Martin Maranja atajwa

    Kuwapigania watu wasiojitambua inachosha, acha wafanye maisha yao
  10. msonobali

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Haya ma ccm yanataka kutunyia umafia mpaka huku Yaani simu ni anasa?
  11. msonobali

    JamiiForums Tanzania Ally Hapi: Rais Samia amefanya super sub, wale jamaa wasitegemee huruma

    Haka kajamaa kangeachwa kaendelee kuuza pilipili. Kalikua kanatia huruma sana
  12. msonobali

    JamiiForums Tanzania Tunarudi enzi za Ben Mkapa. Nawaona CHADEMA wakinyong'onyea kama CUF!

    uliza wanaopanga ziara za mama ulaya kwanini rostam hakosekani kwenye msafara
Back
Top Bottom