Yaani ndugu hapo naweza kusema kwamba serikali imetengeneza mianya ya rushwa kwa wasaili dhidi ya wasailiwa,
Pia imetengeneza matumizi mabaya ya fedha dhidi ya watafuta ridhiki Bora hata awali mtu alikuwa akituma maombi anabaki kusuburiyaani anaumizwa na pesa ya kwenda kutuma maombi kule...
Hapo rushwa Zitasikika kwelikweli, kama usaili wa watendaji wa vijiji watu hutoa rushwa je hii vipi? Serikali imejipanga? # Technical know whom and not technical know how.
Pili binafsi mim naona ni kuwaharibia nauli vijana jobless maana mtu anaenda kwenye usaili kajichanga kwelikweli anarudi...
Kuna madudu Buyenzi secondary madudu ya mkuu mpya aliyeletwa achunguzwe maana yeye anajikita kwenye kula Hela ya shuletu, ndani ya miez michache ashatoa Hela nyingi Sana kwenye akaunt ya shule kutekeleza upigaji, mfano ishatolewa karbia ml1.6 kutekeleza ukarabati wa viti na meza lakn hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.