Hiyo kwenda kuifuata unaweza kutamani kucheka mbele yao, vituo vya polisi Kuna matendo na kauli kama hujitambui unaweza kuwekwa ndani kwa kushindwa kuvumilia
Wewe ambae si askari unaweza kwenda kwenye LINDO la askari polisi kuiba Tena na kuvunja huku wao wakiwa Kazini? Kwa amri na hakuna alyejeruhiwa🤔🤔🤔
Tumia uwezo wako kiakili na ufahamu uliobarikiwa kuchanganua mazingira yako'
We jamaa acha kua mpumbavu.
Yaani kanisa lilindwe na polisi Tena kwa amri ya kufungiwa na Serikali alafu Leo mali hazipo kipindi linafungwa alafu ukaseme ni shetani ndo aliiba na kuvunja????🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Kuna muda unatakiwa ujiongoze kwa umri wako na mazingira uliyopo.
Wewe binafsi ushawahi...
We jamaa acha kua mpumbavu.
Yaani kanisa lilindwe na polisi Tena kwa amri ya kufungiwa na Serikali alafu Leo mali hazipo kipindi linafungwa alafu ukaseme ni shetani ndo aliiba na kuvunja????🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Kuna muda unatakiwa ujiongoze kwa umri wako na mazingira uliyopo.
Ndugu Kwanza hujui unachoandika na pia hujitambui ki fikra.
Hivi hufanyi kazi ama hujumuiki na jamii ya wengine hapo mtaani kwako??
Acha kua mpumbavu kiasi Hilo na wakati ukweli hata wewe unafahamu labda uwaambie hayo maneno familia yako ndo watakuelewa.
Tanzania hatuumizwi na udini na kamwe...
Kwanza wote tukubali mabadiliko yana gharama.
Nadhani pia kunahitajika muongozo wa namna ya kufanyika kwa maandamano Toka kwa waandamanaji wenyewe au viongizi, hii itaepusha na wale wasiohusika moja kwa moja na maandamano na pia itaweka mipaka na namna vikosi vya ulinzi hasa Police ku behave.
Watafutane wao kwa wao wenye hizo taasisi zao yaani BAKWATA NA TEC alafu wakatane vichwa.
Huku kwetu huo upuuzi wa kidini na ukabila hakuna na tunaishi fresh tu.
Hata kwenye haki tumeungana na ndo maana mtoto wa mzee Suleiman na mshikaji wake Adam mtoto wa mama Sarah wakaenda kuandamana na Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.