Recent content by Msomaji2

  1. M

    Dodoma mjini- bei za frem ya biashara

    Mzunguko upo wakutosha kuondana na gharama??
  2. M

    Dodoma mjini- bei za frem ya biashara

    Mji mkuu, [emoji91][emoji91]
  3. M

    Dodoma mjini- bei za frem ya biashara

    Habari wakuu, napenda kufahamu bei za frem za biashara dodoma zinaendaje . Biashara kama 1. Furniture 2. Mapazia, mashuka, godoro, neti, 3. Hardware ... Napenda kufamu bei za frem na mzunguko wa biashara wa hivyo vitu Pia kupata experience ya dodoma palivyo kwa biashara .. Ahsanten[emoji120]
  4. M

    Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

    No vu vbibi j BBC cy ft tg gun bth. U uu bu TT the HB t%<5⅘6ggy
  5. M

    Kigamboni Kisota vs Kibada, Wapi pako poa?

    Kibanda aibu[emoji125],
  6. M

    Kigamboni Kisota vs Kibada, Wapi pako poa?

    Kama mbezi beach sio mbezi ya kimara sio
  7. M

    Kigamboni Kisota vs Kibada, Wapi pako poa?

    Sqrm wana range elfu45 hadi 60 ( yani maeneo tofauti ila bei zinaendana).
  8. M

    Kigamboni Kisota vs Kibada, Wapi pako poa?

    Mchango mzuri sana, nimeona wanaweka lami njia ya kisota, japo kule shangwe nimeenda wameJenga mno
  9. M

    Kigamboni Kisota vs Kibada, Wapi pako poa?

    Issue kama usalama, huduma za kijamii, na vipi kuhusu migogoro ya ardhi n.k ..
  10. M

    Kigamboni Kisota vs Kibada, Wapi pako poa?

    Habari wapendwa, niliwahi uliza kati ya Goba & Kigamboni wapi pako poa. Kutokana na uwepo wa jamaa zangu wengi maeneo ya kigamboni, nimeamua kwenda huko. Sasa kisota na kibada ndo napawaza maana bei maeneo hayo zinaonekana hazipishani sana Kwa uzoefu wenu kisota na kibada wapi panaFaa zaidi...
  11. M

    Goba vs Kigamboni: Wapi ni pazuri zaidi?

    Summarry nimepata points zifuatazo Goba faida yake 1. Ni sehemu iliyo connect na maeneo mengi ya mjini (mbeziBeach, makongo & kimara) 2. Ni makazi mapya ( Watu wanaweka mijengo kwelikweli) 3. sehemu nyingi Usalama upo kutokana na aina ya watu walioJenga 4. Ipo connected na maeneo mengi...
  12. M

    Goba vs Kigamboni: Wapi ni pazuri zaidi?

    Hahaha , wanaishi kigamboni wana nchi yao sio
  13. M

    Goba vs Kigamboni: Wapi ni pazuri zaidi?

    Kumbe nikinyume chake au imekaaje hii
  14. M

    Goba vs Kigamboni: Wapi ni pazuri zaidi?

    Thank you, kwa maoni yako
Back
Top Bottom