Recent content by msnajo

  1. msnajo

    JamiiForums Tanzania Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC

    Siku yakikukuta huu upupu utaukumbuka tu. Haupo salama kama unavyofikiri
  2. msnajo

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

    Nimejifunza sana kuhusu watu wa kufanya nao deal. Nitazidisha umakini sana kwenye circle yangu! Sio kila mtu unatakiwa ufanya naye deal, hata kama ni rafiki yako!!
  3. msnajo

    JamiiForums Tanzania Baada ya Samweli Sitta spika wa viwango! Sasa ni Tulia Ackson Mwansasu homa ya jiji

    Sawa Tulia, endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe!
  4. msnajo

    JamiiForums Tanzania Nondo za Charles Kimei bungeni kuhusu uchumi wa Tanzania

    Utakua unaishi nje ya Tanzania!!! Yaan MD wa sasa anayeimaliza CRDB ndo wa kumlinganisha na Kimei kweli? Toa mfano hai wa hizo structure mpya ambazo amefanya zaidi ya kula bata Dubai na kutembea na msafara wa mama kila anapoenda!! Kama huelewi kaa kimya mzee!!
  5. msnajo

    JamiiForums Tanzania Makonda kawa kituko ziara Kanda ya Kaskazini

    Kama hatatudisha wale watu alioteka na kuua tutaona mengi
  6. msnajo

    JamiiForums Tanzania Asha Baraka umepanda mbegu za chuki dhidi ya CCM na upinzani, subiri uvune ulichokipanda

    Ha Toa takataka....too taka....
  7. msnajo

    JamiiForums Tanzania Mikutano ya Makonda inaonyesha jinsi nchi yetu ilivyo ya maajabu mengi

    Mkuu pole kwa kupata muda wa kufuatilia FUTUHI ya CCM. Ni aibu na fedheha kwa chama na serikali. Wameona watuletee huyu mtu na hakuna chochote anachoeneza zaidi ya kuwabwaja. Very hopeless
  8. msnajo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makonda: Mwacheni Mbowe afanye tu harambee za Kanisani, na ili afanikiwe lazima aje kwa Watu wa CCM. Inawezekana ile 150m iliyotoka ilikuwa 200m

    Makonda acha upuuzi ndugu...huo sio ueneze bana mdogo. Unatia kinyaa kwa huu aina ya uenezi wako... This is pathetic!!! Zungumzia matatizo ya watanzania, acha Mbowe akae na siasa zake. By the way we na Mbowe ni mbingu na ardhi, hata robo huingii kwa yule mwamba!! Eneza mambo ya CCM, mbona...
  9. msnajo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zikiwa zimesalia siku chache, Wadau wazidi kuunga Mkono Maandamano ya Amani

    Hiki ni kiwango kidogo sana cha uelewa wa mambo!! We endelea na maisha yako.
  10. msnajo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 UVCCM wa UDSM wasema Fomu ya Mgombea Urais itolewe Moja tu!

    Huyu sio msomi ni "chawa pro max"
  11. msnajo

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa LATRA anapata wapi nguvu ya kupingana na Rais? Serikali inakataza kufunga biashara, yeye anafungia mabasi 35 yasitoe huduma

    Ungekua poa kama ubovu upo kwenye kitu gani... Wabongo ni wavivu wa kufikiri sana
  12. msnajo

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa LATRA anapata wapi nguvu ya kupingana na Rais? Serikali inakataza kufunga biashara, yeye anafungia mabasi 35 yasitoe huduma

    Kuna dhuluma na vita ya kibiashara hapa mahali. Sijawahi kusafiri bila ticket ya electronic kwenye hii kampuni. Na meseji napata kwenye simu yangu
  13. msnajo

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa CCM huyu hapa

    Wanajificha wapi sasa wasionekane na huo usafi wao?! Naomba uwataje na uonyeshe waliposimamia kwa dhati na kwa .maslahi mapana ya nchi zaidi ya kundi fulani.
Back
Top Bottom