Kwa utabiri wa Biblia kwamba watatokea manabii wa uongo katikati yetu, huo pekee ulipaswa kukudhihirishia kwamba Ukristo ni dini ya kweli.
Tatizo hamsomi biblia wenyewe mnasubiri kuangalia mahubiri YouTube. Na mtakimbia sana mkifikiri mnakoelekea ni salama, kumbe huko ndo hata kipofu anayaona...
Kilichosababisha wampe nchi bila kumwaga damu sio kwa sababu Nyerere alikua na akili ila ni kwa sababu koloni hili halikua Lao. Walipewa tu kama waangalizi baada ya vita vya kwanza vya Dunia. Kwa hyo hata wao hawakua na full mandate ya koloni hili
Issue sio rushwa hapo. Issue ni kuharibu brand ya taasisi wakati hauna tangible evidence. It's very simple kwamba angeitwa mahakamani kuthibitisha anayoyasema angeweza?
Hivi vibinti vya tiktok vikishaona vina makomwe makubwa vina bwabwaja tu. Kuna kamoja kalitumwa na mpinzani wa kampuni yangu...
Mungu nahisi nimekukosea kwa kuufungua uzi huu na kuusoma. Nisamehe Kristo Yesu, nakuaminj na nakutegemea katika maisha yangu. Umenitoa mbali sana, kama sio wew kuwambwa mslabani sijui ningekua wapi mimi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.