Unatafuta pesa ili ununue hayo mambo au una malengo yako?? Furaha ni nini? Hivi kama furaha yako ni mama yako, lkn anaumwa ukatumia pesa kumtibu hiyo pesa haijakurejeshea furaha?? Au unahs furaha ni kitu km kiatu unakinunua kwa mara1? Furaha na ujinga mwingne wote ulioandikwa ni mchanganyiko...
Sasa kama HUANGALIAGI unajua wanaonesha(ga) nini kila siku?? Unapata wapi ujasiri wa kuzungumzia kitu usi kifatilia??? Halafu kwann uoneshe hicho ina maana umekipenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.