Recent content by msikuu

  1. M

    Natafuta kazi kwenye hospital au dispensaries upande wa Data Entry (NHIF E-CLAIM)

    Habari wana JF, Ninatafuta kazi either permanent or temporary kwenye hospital au dispensary upande wa NHIF E-Claim. Nina uzoefu na weled wa kutosha kuhusiana na uingizaji data wa hizo forms za wagonjwa wa NHIF kwa mwenye uitaji au mwenye kufahamu mahali wanauhitaji. Pls naomba connection...
  2. M

    Natafuta nafasi ya kazi Secretary au Reception

    Kingereza hakijawah muacha mtu salamaa.. Pole dada angu.. Endelea kijifunza mwaya Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Boi manda modern construction

    Duuh... Labda tusubiri tuuu mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Boi manda modern construction

    Habarini wakuu. Naomba niwaulize swali wana jf, je kuna mtu alitumaga maombi katika hiyo kampuni tajwa hapo juu,na je walishaita watu kwenye usahili au bado??naombeni Masaada kwa anayefahamu anijuze. Thanks Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    kazi ya stationary Manzese

    Mbna huyu hajibu msg sasa?? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Natafuta kazi

    Unajua smtym kama huna lakusema it's better ukaa kimya.. Hujalazmishwa..cz naona u talk nonsense and stupidity things ase.. Eti rud nyumban uliambiwa niko ugenin au?? Be like an educated and learned person sio kuropoka ropoka tuu.. Mxieeeew. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Natafuta kazi

    Mimi ni binti, umri miaka 24,kwa upande wa elimu nimemaliza diploma mwaka huu mwezi wa 6 chuo cha utumishi wa umma nimesomea fani ya utunzaji kumbukumbu na nyaraka Kwasasa ninavyeti viwili cha level 4 na 5 level 6bado havijatoka ninatafuta kazi yoyote kwa sasa nikisubiri cheti changu nipo...
Back
Top Bottom