Dah pole Mkuu tuko pamoja mi pia kama wewe naumiza kichwa nitampata wapi mke anayenifaa imekuwa ngumu hadi naelekea kukata tamaa nijitafutie mtoto tu make kwa umri huu miaka 30 mambo bado hayasomeki niliweka hadi post love connect kutafuta mke nikataja hadi sifa lakini bado. Duh kichwa kinauma...
Mkuu hongera sana japo wapo wanaobeza lakini naamini wengi ni wivu tu na kukata tamaa hawaamini kama unaweza kumpata mme au mke hapa jf au kumpata kwa haraka kihivyo kutokana na maigizo waliyoyazoea. Kukaa na mtu miaka 2, 3, 4 eti mnachunguzana ndo chanzo cha kupotezeana muda na kuachana kwa...
Wapo wanaokaa hata miaka 5 baadae wanamwagana hiyo haina formula kabisa mkiridhikana mnaoana siyo mambo ya kupotezeana muda baadae mnapigana chini kimasihara. Mimi mwenyewe natafuta nikimpata hata kesho natangaza ndoa nshapoteza muda sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.