Recent content by Mshobaa

  1. Mshobaa

    Mabasi mapya ya mwendokasi kuingia

    Ama kweli usiku wa deni haukawii kucha. Mnamo tarehe 2 January 2025 tuliambiwa mwezi Machi mabasi mapya ya mwendokasi yangewasili na kumaliza adha ya usafiri kwa njia za dart. Je huwa tunadanganywa na hawa viongozi tuliowateua hadi lini? Nini suluhu ya utatuzi wa kero ya usafiri wa mwendokasi?
  2. Mshobaa

    AZAM TWO:Tamthilia za saa nne ni za kidini!

    Wanawaita mbwa mwitu niliona kipande wanalia kama mbwa kisa eti wanawaogopa waislam
  3. Mshobaa

    DOKEZO Ni kitu gani kinakwamisha awamu ya pili ya mradi wa DMDP wakati fedha zilishatolewa na Waziri?

    Naomba tujulishane hasa wakazi wa manispaa ya Ubungo je kuna ujenzi wa barabara unaoendelea hizi za tarura??
  4. Mshobaa

    DOKEZO Ni kitu gani kinakwamisha awamu ya pili ya mradi wa DMDP wakati fedha zilishatolewa na Waziri?

    Wakuu salaam, Nadhani sasa ifike mahali sisi wananchi tuache kudanganywa kwa ahadi hewa. Tumesha kuwa watu wazima sasa, sio watoto. Huu mradi sote tulishuhudia utiaji saini wake na Mh. Mchengerwa mwaka jana, mwezi Oktoba, na kuahidi utekelezaji wake ufanyike mara moja. Naomba kuuliza, ni...
  5. Mshobaa

    KERO Malori yanayopaki eneo la urafiki ni kero kwa watumiaji wa Barbara ya morogoro

    Wakuu salaam Kumekua na tabia ya madereva wa malori kuegesha magari yao sio pembezoni bali katikati ya hii barabara muhimu kuanzia eneo la urafiki hadi ubungo darajani. hali hii imekua kero kubwa sana kwa watumiaji wa barabara hii, kwani husababisha foleni kubwa hasa wakati wa jioni kwani...
  6. Mshobaa

    KERO Wapiga Debe wanaotafuta Abiria wa Mabasi katika Kituo cha Daladala Mbezi Luis ni kero kubwa

    Wapo mkuu we nenda pale utashangaa wanakua na vijitabu vya risiti kabisa utakuta msafiri katoka mbali haelewi utaratibu wa kupanda mabasi ndio hao wanapotumia mwanya huo kuwaibia
  7. Mshobaa

    KERO Wapiga Debe wanaotafuta Abiria wa Mabasi katika Kituo cha Daladala Mbezi Luis ni kero kubwa

    Inasikitisha sana unakuta pale pa kuingilia Pana rundo la askari lakini hawana hata mpango wa kinachoendelea zaidi ya kuwaangalia tu
  8. Mshobaa

    KERO Wapiga Debe wanaotafuta Abiria wa Mabasi katika Kituo cha Daladala Mbezi Luis ni kero kubwa

    Wapiga Debe katika Stendi ya Daladala ya Mbezi Luis wamekuwa kero kubwa kutokana na yale wanayoyafanya kila siku kutuoni hapo kwa nia ya kutafuta Abiria wanaoelekea katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli Bus Terminal. Kwanza Daladala ikiwa inaingia hasa majira ya asubuhi ambapo kuna mpishano wa...
  9. Mshobaa

    Ninachokijua kuhusu Miradi ya DMDP na Ujenzi wa Miundombinu Mkoani Dar

    Tunasubiria kwa hamu sana utekelezaji wake hakika
  10. Mshobaa

    Kuanza rasmi kwa mradi wa DMDP phase 2

    Tunategemea utekelezaji sasa baada ya Mh Mchengerwa kutia saini leo. Swali langu ni je itachukua tena muda gani wakandarasi kuingia site???
Back
Top Bottom