Recent content by mshindoj

  1. M

    Nape: CCM itashinda tu uchaguzi mkuu ujao hata kwa goli la mkono

    Nape(Nepi) ni kiongozi wa hovyo sana. Huwezi kutoa kauli chafu kama hiyo. Halafu JK hamkemei si ndio maana tunajua anamtuma. Kama hamtumi basi kwa kauli hiyo ajitokeze hadharani kukanusha hii italeta balaa siku za usoni.
  2. M

    Hawa ndio vibaraka wa Edward Lowasa miongoni mwa waliochukua fomu kuomba ridhaa ya CCM urais 2015

    Maharage kumbe yanalewesha mpaka mtu anaongea pumba za mavi.
  3. M

    Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

    Very good post
  4. M

    Udhamini wa Lowassa unatia shaka

    Nenda Milembe kajiuguze upone Kenge mkubwa wewe.
  5. M

    Udhamini wa Lowassa unatia shaka

    Nena milembe kajiuguze Kenge mkubwa wewe.
  6. M

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Mwaka huu wa 2015 ni "turning point" au naweza kuuita ni "defining year" ya sura ya Tanzania mpya tunayoitaka kwa vizazi vijavyo nchini kwetu. Nasema hivyo kwa sababu hali ilivyo kwa sasa tunatakiwa kuwa na kiongozi mwenye upevu na shupavu katika kufuatilia mambo nyeti ya nchi. Hatutakiwi kuwa...
  7. M

    Makonda: Wanaodai kuna tatizo la ajira, wana upungufu wa kufikiri!

    Dah!! Mkuu wa Wilaya anaongea hivyo!!! Hivi kweli haoni tatizo la Watanzania ni nini kwa wakati huu? Au ana ajenda yake binafsi kusema hivyo!!
  8. M

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Hoja dhaifu isiyo na takwimu wala vilelezo. Sijui umekula maharage ya wapi wewe!! Sijui nani amekuloga! Acha wivu utakufa na pressure bure. Kwenye analysis wewe hata level ya chekechea hujafikia. Usirudie tena kuandika analyis isiyo na viwango vya research nakushauri nenda nyumbani kwa fulani na...
Back
Top Bottom