Mimi situmii iphone na sina mpango wa kununua hiz simu kama nipo ndani ya nchi mfano wa Tanzania au nchi maskini zaidi ya Tanzania, lakini iphone ni moja ya simu zenye features zinazotakiwa kwa dunia5ya Leo.
Tunachoashindwa kujua ni kwamba Dunia hipo mbali sana kiteknolojia na internet ndiyo...
Kila wkiend narudi kuiona familia nilikuwa napanda shabby nikijua hakuna basi na huduma zuri kama wao kumbe nilikuwa napandia jina tu na ninalipa nauli kubwaa ila baada ya kufanyiwa ushenzi na wafanyakazi hasa yule dereva bwege yule.... Niliwahama sasa nimegundua kuna basi nzuri kuliko wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.