Recent content by mshewaman

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

    Umewajibu vizuri sana. Tatizo wengi wanaojadili wako upande wa wanaopinga kila kitu. Hivi huyo anayepinga anaweza kumlinganisha Prof. na Madeleka? Mnamjua vizuri? Ulinganisho wao ni sawa na Tembo - Prof na sisimizi au mdudu mdogo zaidi ya sisimizi-Madeleka!!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Hassan Abbas: Matukio mawili tu yaliyotokea Dodoma mnatangaza Dodoma sio salama? Hivi mmefika New york na London kweli nyinyi?

    G Labda kwanza ungeeleza ni lini Congressman au seneta amekuwa analewa chakari akiwa na kimada kama mlinzi huko USA.
  3. M

    JamiiForums Tanzania WHO: Hakuna ugonjwa wa Zika Tanzania

    Hivi huyu mama mnakumbuka alichoongea kuhusu Kikombe cha Babu Loliondo na watu wakamiminika huko baada ya kutoa findings zake kuhusu kikombe. Hajawahi kueleza mwendelezo wa Tafiti ya Kikombe hicho!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mapokezi maalum kwa Maalim Seif kisiwani Pemba kutoka Airport yarindima barabarani

    Halafu hata angeenda Mzee Majuto angepata mashabiki wengi kuliko huyo mbabaishaji
  5. M

    JamiiForums Tanzania TAMKO: CUF yatangaza kutoyatambua matokeo na hakimtambui Dkt. Shein

    Inaonesha Ushindi wa awali ulitokana na wizi uliokithiri kwa Wa Hizbu. Nguvu walizotumia kwa wizi huo zilikuwa nyingi sana ndio maana walipotakiwa kurudia uchaguzi kihalali hawakuwa tayari kwani hawatapata nafasi ya kuiba tena bila kugundulika kirahisi.Hii ni aibu kuu wa CUF na Wa Hizbu wote...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa asimamishwa na wakulima wa eneo la Dumila na kuwasalimu

    Najua huko mbele ya safar atakuwa anasimama mara kwa mara KUCHIMBA DAWA. Msiache kutujuza tafadhali
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mwili wa Alphonce Mawazo wageuzwa kuwa suala la kisiasa

    Umesema kweli ndugu yangu. Baada ya kukosa Urais sasa wanatafuta umaarufu kupitia maiti. Lakini hii ndiyo kawaida yao. Je mnakumbuka siku za nyuma kina Tundu Lissu na wenzake walishawahi kulala mortuary kule Mkoa wa Mara wakilinda maiti?. Walichokipata baada ya kukamatwa na kufikishwa Magereza...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa CHADEMA wa kuchangia kampeni za Uchaguzi - Sept 21, 2015

    Wameshindwa siasa sasa wamegeuka kutapeli Wananchi. Wamekutana Matonya Group. Natamani sana kuona nyuso za matapeli wote Hawa walioko ukumbini ifikapo tarehe 26 oktoba
  9. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Kauli rasmi kuhusu yaliyotamkwa na Dr. Willibrod Slaa

    Halafu angalia tarehe ya taarifa hiyo. Ilitoka mwezi mzima kabla ya kutolewa. Sijui ni makusudi au ni kuchanganyikiwa?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Clouds FM, hiki mnachofanya ni kampeni kwa CCM

    Mimi siwalaumu Clouds FM. Nafikiri wanatumia maneno ya Lowasa sawasawa kwa vile hana na au hajui SERA ya vyama anavyogombea.Labda mngependekeza sera ya UKAWA. Niwasaidie "UFISADI;RICHMOND,WIZI,TAMAA NA UCHU WA MADARAKA MPAKA IKULU '
  11. M

    JamiiForums Tanzania Taharuki Dar es Salaam: Abiria wajeruhiwa kwa kisu, mhusika auawa na wananchi

    Mimi bado nadhani lawama zinapaswa kuwaendea ndugu wa aliyeuawa kwa kutomdhibiti mtu huyo na kumwacha loose tena akiwa na silaha. Wananchi wasingechukua hatua huyo angeweza kuleta madhara zaidi
  12. M

    JamiiForums Tanzania Taharuki Dar es Salaam: Abiria wajeruhiwa kwa kisu, mhusika auawa na wananchi

    Mini baobab lawmakers zinapaswa kuwaendea ndugu wa aliyeuawa kwa kutomandala mtu huyo na kumwacha loose tenant akiwa na silaha. Wananchi wasingechukua haha huyo angeweza kuleta madhara zaidi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zanzibar, Dk Shein amuonya na kumtaka Maalim Seif kuacha kuwagawa wananchi

    Hivi Ukawa kuna mweye akili hata mmoja? Mimi sjamuona. Kwanza wote wanafoka wakiwahutubia wanachi.Hawawezi kuongea kwa utulivu. Wanawafokea wananchi tu. Wakiwashangilia ndio wanapandwa na munkari Zaidi kumbe wananchi wanawachora tu.Lakni wenye matatizo ya afya ya akili wote kufoka ndio symptom...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Soma hapa (contents) za Makubaliano (MOU) ya CUF, CHADEMA, NCCR-Mageuzi na NLD

    Sumu umesema kweli. Lakini pamoja na kuwapongeza kuungana nnauliza hivyo huo mpangilio wa kusaini kuanzia Chadema, CUF< NCCR na mwisho kabisa NLD ilifuata vigezo vya umri,udini, ukabila, ukanda au bahati mbaya. Naamini wasingekuwa na nia ya ku7gawana vyeo na maslahi wangesaini mchangganyiko...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kongamano vijana wa Mkoa wa vyuo Vikuu TBC1

    Wewe GSAM umechanganyikiwa. Sasa unamfokea nani hapa? Umetoa povu mpaka huruma. Mtakoma mwaka huu.Mmeshindwa kuwasemea wananchi bungeni mkaishia kula nyama Dodoma. Mmejribu kuwadanganya wananchi wanawachora tu .Sasa nasikia mnaisoma Katiba kwa makini mtafute pa kupiga Critics. Kwa kweli...
Back
Top Bottom