Kuna rundo la graduate mitaani. Hewa all mazuzu. Elimu waliopata ikoje? Mifuko inawawezesha kupata mitaji? Au ndo warudi vijijini watafanya kikomo duni ambacho wazazi was wamekifanya kwa 50 yrs na bado ni masikini? So ndo kusema DC na watu wenye fikra kama zake wanadamu vijana ni mazuzu?
Mleta made hujajifunza vyakutosha buy ya demokrasia ya vyema cha siasa Afrika. Ndani ya vyama cha siasa demokrasia ni ya sina yake. Hebu niamkie demokrasia ya com! Kila chama kinautaratibu wake na ukikiukwa hapo demokrasia inakua imekipwa ndani he chama hicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.