Misingi ya katiba ni:
1. demokrasia shirikishi yenye viongozi na si watawala
2. umiliki wa ardhi kuwa wa wananchi
3. maliasili kumilikiwa na umma na maamuzi kufanywa na wananchi kuhusu matumizi
4. Muungano kuwa wa wazi unaohusisha serikali mbili na serikali ya shirikisho
5. kupunguzwa madaraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.