Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
1 -Ujamaa na kujitegemea lazima ufutwe na kulaaniwa
2-kifungu kimkingacho raisi asishitakiwe kifutwe na raisi lazima ashitakiwe kama ana makosa
3-mahakama kuu na bunge lazima ziwe huru na ziwe na nguvu
4-tume ya uchaguzi iwe huru, TAKURU nayo iwe huru
5-adhabu ya kifo kwa MAFISADI
Ndugu zangu watanzania, kama jaji warioba hajaweka mambo haya katika katiba mpya, basi tujue nchi si mali ya wananchi bali ni mali ya watu wachache.
tusije kukubali kumpigia kura raisi ambaye hukingwa na katiba kuwa sishitakiwe kama na makosa. Kama Israel wana haki ya kumshitaki kiongozi wao akifanya makosa na wameendeleo kupita kiasi sisi lazima tuige ili nasi tusije achwa nyuma kimaendeleo.
2-kifungu kimkingacho raisi asishitakiwe kifutwe na raisi lazima ashitakiwe kama ana makosa
3-mahakama kuu na bunge lazima ziwe huru na ziwe na nguvu
4-tume ya uchaguzi iwe huru, TAKURU nayo iwe huru
5-adhabu ya kifo kwa MAFISADI
Ndugu zangu watanzania, kama jaji warioba hajaweka mambo haya katika katiba mpya, basi tujue nchi si mali ya wananchi bali ni mali ya watu wachache.
tusije kukubali kumpigia kura raisi ambaye hukingwa na katiba kuwa sishitakiwe kama na makosa. Kama Israel wana haki ya kumshitaki kiongozi wao akifanya makosa na wameendeleo kupita kiasi sisi lazima tuige ili nasi tusije achwa nyuma kimaendeleo.