Recent content by Mshamba wa kusini

  1. Mshamba wa kusini

    Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

    Sio kweli mimi mke wangu nimeanzanae tuna godoro moja tu mpaka sasa tuko vizuri
  2. Mshamba wa kusini

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Kila mwezi elfu 70000 tunatumia familia nzima pamoja na TV streaming
  3. Mshamba wa kusini

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Wapi nimesema nina hela? We ni mpumbavu mtu kustream ndio kua na hela? Akili ya kifukara sana.
  4. Mshamba wa kusini

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Yah kama upo eneo lililofikiwa na fiber ni bora zaidi ukatumia fiber
  5. Mshamba wa kusini

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Mkuu punguza stress kila mtu anauwasilishaji wake wa maudhuhi usilazimishe tufanane
  6. Mshamba wa kusini

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Ndio unlimited Airtel unapata lakini pia kuna fiber unlimited 50k iko stable zaidi naskia
  7. Mshamba wa kusini

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Maana ya huu uzi ni kuwashtua wa Tanzania waliobaki kwenye mfumo wa zamani inshort ni kuelimishana
Back
Top Bottom