mimi sioni cha kubishana hapo,akiliongelea kwa mantiki ya kusaidia kumpata haina shida hata kama ingekuwa ni chooni ndo akaongelee,binafsi ingekuwa poa maaana ni mtz kama wewe.
Usifanye watanzaia kuogopa kutoa ushauri,kuhoji au kukosoa
Nchi yetu ina viongozi wachache sana,anajua misingi na kanuni za uongozi lakini hayo yote anayaweka kando.Yeye ni mtu hatari sana?,uhatari wake ni upi? .Rais wetu anayo kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.