Recent content by mseytruu

  1. mseytruu

    JamiiForums Tanzania Banc ABC wamekataa kulipwa, msaada wenu unahitajika

    Nenda BOT,kuna jamaa yangu pia alikuwa anasumbuliwa na letshego,walikuwa hawataki kumpa balance,alivyopeleka malalamuko BOT, balance allipata faster
  2. mseytruu

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu ashtushwa na taarifa ya Madereva wa Serikali kulogana ili wapate kazi

    Hahahaha,mkuu wa mkoa aliwaona wakati wanarogana.
  3. mseytruu

    JamiiForums Tanzania Orodha ya watu waliopotea na kutekwa na tamko juu ya ongezeko la vitendo vya utekaji na upoteaji wa watu nchini Tanzania

    Hivi hakuna uwezekano,kila mwanafamilia akafungiwa GPS,ndani ya mwili wake,hebu wataalam tusaidieni
  4. mseytruu

    JamiiForums Tanzania Chama cha Walimu wajifunze kutoka TLS

    🤣🤣🤣,nilishawahi kuwasikia mkuu, yaani hawa jamaa huwa nawashangaa sana.
  5. mseytruu

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Mkuranga inataka tulipe kodi ya pango kwa zaidi ya asilimia 10 tunayoipata kupitia vibanda

    Pole sana mkuu,karibu sana hapa kiparang'anda kikungo.
  6. mseytruu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anaomba ushauri, achepuke?

    Mkuu kwenye masuala hayo, mshauri wako ni nyoka,nyoka atashauri kama alivyomshauri Eva,mke wa Adamu.
  7. mseytruu

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

    🤣🤣🤣Labda walidhani na huko mahabusu anaweza kutoa huduma kwa mahabusu wenzake pamoja na askari na kupata pia sadaka na fungu la kumi🏃🏃🏃🏃🏃🏃
  8. mseytruu

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Niko tayari kuitwa hata Mahakamani

    Mkuu wewe ndiyo poyoyo ila samahani sana mkuu,kusema kweli wewe ndiye poyoyo, unisamehe sana mkuu kwakuwa wewe ndiye poyoyo, kazi njema mkuu
  9. mseytruu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Demu wangu ananinyima sana tunda

    Mmh,au atakuwa na mapepo na yanakuchukia sana,huenda ndiyo yanamtumia,mpaka kushika kisu,hii ni hatari sana.
  10. mseytruu

    JamiiForums Tanzania Ishara tano(5) kwamba unakaribia kufa na nini cha kufanya unapoona

    Duh,we jamaa itakuwa nyota yako ni ya uganga wa kienyeji.
  11. mseytruu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Taasisi zinazotoa mikopo zitunze faragha za wateja wao

    Hahahaha,uwaulize mbona wakati wanampa mkopo hamkujulishwa,halafu Left hilo group.
  12. mseytruu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Taasisi zinazotoa mikopo zitunze faragha za wateja wao

    Hahahaha,uwaulize mbona wakati wanampa mkopo hamkujulishwa,halafu Left hilo group.
  13. mseytruu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Taasisi zinazotoa mikopo zitunze faragha za wateja wao

    Pole mkuu,kama wameshakutangaza, USIWALIPE, watalipwa huko walikotangaza.
  14. mseytruu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Taasisi zinazotoa mikopo zitunze faragha za wateja wao

    Hawa jamaa siyo wastaarabu,hata deadline ya kuwalipa haijafika,wanataka ulipe yaani ni lazima,usipofanya hivyo,unatangazwa kuwa ni tapeli.
Back
Top Bottom