Binafsi najua kuwa hakuna mwenye haki ya kuzuia mtu kufanya wajibu wa kikatiba wa kupiga kura. Wote, wanasiasa na wanahatakati wana wajibu wa kuielimisha jamii na hata kushawishi jamii kutoshiriki mchakato wa kupiga kura lakini baada ya kufanya hayo yote uchaguzi wa kupiga au kutokupiga kura...
Duh! Kwa kweli ni vizuri kujua wahusika halisi wa vitendo hivi vya kidhalimu. Tunajua kuwa polosi ni wahusika wakuu lkn tuangalie namna kuwashitaki individuals.
Iko siku hili nalo litapita ila wahusika lazima wawajibishwe.
TAL anakabiliwa na kesi ya kisiasa; kesi ya mchongo ya kubumba. Ana mawakili makini sana na anawatumia sana na anaweza kuwatumia zaidi, akipenda au wakati ukifika. Kwa sasa, hoja za TAL zina nguvu sana na ana uwezo mkubwa wa kishughulikia mashahidi wa mchongo kwa namna ambayo itaiaibisha sana...
PCCB AKA TAKUKURU ni taasisi kazi wanayofanya haiko wazi sana sababu haionekani kutendeka. Kwa kiasi kikubwa wanafanya kwa maelekezo.
Sina imani na takukuru na hata ktk kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu mambo si sawa. Kugawa bauskeli na pikipiki ni rushwa. Hata kubeba watu kwenye malori na...
Na Zitto keshasahsu kuwa ACT wana mgombea wao, yeye anamnadi Samia. Ama kwa hakika ACT ni mpango wa kando wa CCM. Mpina aitafakari nafasi yake ACT hasa baada ya kuwekewa pingamizi.
Katika umri wa miaka 14, kuiba parachichi maana yake jamii nzima inakabiliana na tatizo kuwa la uchumi na maadili kiasi kwamba wizi wa parachichi unaweza kumsababishia mtoto kifo. Huu ni umri ambao watoto wanaagaliwa na kusimamiwa kwa makini kuhakikisha mahitaji ya yanapatika ili wasihitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.