Jaman PINDA mbona anatia kichefuchefu ...Kashindwa kusimamia mambo mengi ya msingi ambayo Leo yangesimamiwa vizuri tusingekuwa hapa tulipo...!! Yaan tangu Jembe Lowasa amuachie nafas ya Uwazir Mkuu hana jipya LA kujivunia ambalo amelibun yeye na kulisimamia kikamilifu likawezekana kwa manufaa ya...
Kiongoz wa kweli na makini utamjua..tu wala hachafuki....yaan hata ukimchafua hachafuriki . ..Sana sana utachafuka wew..!!
Lowasa ni tumaini LA.wengi....!!
Huyo chabruma hana jipya...!! Hoja zake chakavu..!! Bt anatambua nguvu ya mtoto wa mfugaji ndani ya chama na nje ndio maana anaweweseka .hajiamini. .!! Pole San chabruma ......
Kiongoz wa kweli na makini utamjua..tu wala hachafuki....yaan hata ukimchafua hachafuriki . ..Sana sana utachafuka wew..!!
Lowasa ni tumaini LA.wengi....!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.