Recent content by Msemakweli anthony

  1. M

    Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

    mm nafikiri ili kauli hii isiwaasili wengi lukuvi ajiuzulu na pinda awaombe radhi wazanzibar na watanganyika pia
  2. M

    Ccm msimamo wa serikali mbili mumeupata wapi?

    muungano wa jamhuri ya tanzania. sasa ni muungano wa inch ya zanzibar na wapi?. Jamani hata mtoto mdogo atauliza muungano upi huu? tusidanganyane jamani. kwa nn tung'ang'anie na tulazimishe? ccm wanajambo lenye masirahi kwao, ni heri waseme tuwaelewe na si kurazimisha mpaka wengne wanalia na...
  3. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 22 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

    hao jamaa waliobaki hawana lakujadili. hakuna hoja hapo. wanamasirahi binafisi hao ndio maana wameng'ang'ania misimamo yao. wengne wanawaita vibaya wao wakiitwa vibaya wanaibua maneno ya uchonganishi mungu awasamehe.
  4. M

    Kafulila alivyomfunika jk

    jamani aliyekuwa na audio ya kafulila naomba jamani na za wengineo pia (majembe tu) sio wale wa ndiyo mzee
  5. M

    Hivi ndivyo Tundu Lisu Alivyowasilisha jana .

    Lissu waambie tumechoshwa na ubabaishaji
Back
Top Bottom