kama ndo basi wazungu hadi sasa wangekuwa wanalipa madhambi waliyowatendea na kuendelea kuwatendea waafrika lakini mbona ipo tofauti kwao na ndo kwanza dini bado wanaongoza wao na bado wanatuburuza na Mungu amekaa kimya au ili swala lina apply kwa waafrika tu?
kwan waliopigwa wangapi mbona deals anapata mandonga tu? hajapata dili sababu ya kupigwa kwake, wa kulalamika angelalamika magambo , yeye ndo wa kwanza kumpa jina mandonga sababu alimpiga round ya kwanza sio yeye kaoneka kamkuta teyari ashakuwa na jina
naongezea , ukiwa unakojoa mara kwa mara kwa kuchuchumaa inaimalisha mishipa ya uume ya kukusaidia kwenye tendo, asa ww kijana wa miaka 30 uogope kuchuchuma kisa utakuwa choko basi kuna ulakini na urijali wako.
jeshi lolote haliwezi kuchapisha udhaifu labda uvuje kwa majasusi ukiona wamechapisha wenyewe jiulize mara mbili mbili na sio marekani tu, dunia kwa ujumla , ni maoni yangu tu lkn.
unachosema ni kweli kabisa ila tatizo linakuja pale mnapochagua habari , wamarekani wakisema mrusi anapigwa huko ukraine mnasema propaganda ila akisema bado cjaweza kutengeneza silaha za kasi mnasema hio habari ya kweli, kwann msione kila habari ya mmarekani ni propaganda? au msoipenda ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.